Binti akifikia hatua hii, omba Mungu

100% naunga mkono hoja
 
Pambana mwanaume utaogopaje Tattoo vitu vidogo mnavifanya view vikubwa
 
Ndio ni makosa lakin sitowapa adhab ya mateso ya kuchomwa moto milele..hyo ni adhab kal sana ambayo hata mwanadam dhaifu hawez mfanyia mtu ..uchomwe milele kaka kwasbaab ya sex

Sent using Jamii Forums mobile app
Okay, kwahiyo unakubali kuwa unafanya makosa na unafahamu kuwa ipo adhabu kwa kila atendaye kosa lakini unachopinga wewe ni adhabu ya milele?

Ndugu yangu mimi sijui wewe ni dini gani, lakini kwa sisi Wakristo tumeambiwa kuwa yeye afanyaye uovu kwa makusudi mtu huyo adhabu yake itakuwa kubwa zaidi.
 
Aya mbili za mwanzo...
Angetaka tusitomb...ne mpaka ndoa angeweza tu kuruhusu huo unaouita "mfumo wa uzazi" ufanye kazi baada ya ndoa tu.
Mengine watajibu wengine
Elewa kwamba MUNGU alimuumba mwanadamu na kumpa uwezo au uhuru wa kuamua kutenda mema au mabaya.

Kuwa mtiifu au mkaidi ni jambo la hiari na ndiyo maana MUNGU hakutaka kutuwekea limits kwenye miili yetu.

Hakutuwekea limits bali aliweka utaratibu wa namna bora ya kuishi. Hivyo kila anayekiuka utaratibu huo ataadhibiwa kwa kuwa mkaidi.

Tena fahamu kwamba MUNGU alikataza zinaa kwa faida yako wewe mwenyewe na watu wengine na siyo kwa faida yake yeye.

MUNGU hapati hasara yoyote ile ikiwa wewe utafanya zinaa na uasherati, tena hapati faida yoyote ikiwa wewe hutafanya zinaa.

Faida za kutofanya zinaa utazipata wewe ikiwa utatii na kujiepusha na zinaa. Na hasara za kufanya zinaa utazipata wewe ikiwa utaamua kufanya zinaa.

Zinaa na uasherati vina hasara kubwa sana kwa mwanadamu na hata kwa watoto wanaozaliwa katika zinaa na uasherati. MUNGU akiwa ni zaidi ya BABA mwenye upendo kwetu sisi alikataza zinaa ili atuepushe na hasara za tendo hilo.

Nitakupa mfano mdogo :
Ukiwa na mtoto na anataka kula madawa ya kulevya sababu tu anapata starehe akila madawa, Je, wewe kama baba hutamkataza ikiwa unajua vyema hasara za kula madawa ya kulevya???

Basi kuanzia leo tambua kuwa yote aliyokataza MUNGU alikataza kwa faida yetu sisi na wala siyo kwa faida yake.
 
Jaribu kumwambia mwezi ujao unasimamishwa kazi mpaka kampuni itakapokutafuta uone reaction yake..

Jaribu kumdanganya kitu ambacho kitamfanya aone maisha ya kula bata yanaelekea kuisha uone reaction yake..

Usiridhike na anavyokuactia, jaribu kuchunguza deep down kwann anakuganda sana. Find out her true interests, or intentions.
 
rule rule number one....usioe kwa sababu unanionea huruma dem. never in your life. never ever.
 
Kwahiyo mkuu wewe hukunyanduana hadi ulipoingia kwenye ndoa? Au utanyandua ukiingia ndoani? Aisee
 
Huyo ni gold digger amini atakutenda unikumbuke nakwambia
 
[emoji23][emoji23][emoji23]ana smoke uwongo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Matango pori

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…