Binti akifikia hatua hii, omba Mungu

Duuh sasa unaishije bila mbususu mkuu, ukisikia hamu unajitulizaje? vipi ukiingia kwenye ndoa una uhakika utaacha kunyandua mitaro? Si wanasema mazoea hujenga tabia🤔
Ukikinai umekinai tu, hata huyo atakayeolewa na huyo Son of Gamba atapatwa na taabu ya kupata tendo la ndoa. Maana alishafanya mpaka ukomo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 

We unampenda? Kama unampenda basi maamuzi ni yako sio kufikiria watu watasemaje, katika maisha unapaswa kujua watu hufanya makosa ila si vizuri kuwahukumu kwa makosa waliyofanya huko nyuma milele especially kama wanajutia kufanya ivo, matobo ya mengi ya sikio ni urembo japokua jamii inaona km uhuni kuhusu tattoo labda ni ujana tu ulikua unamtaabisha kama unampenda huwezi kufocus kwenye mambo km ayo [emoji58]
 
Sasa hivi kapatiwa connection ya kazi na dada yake,boss wamekutama samaki samaki...na hizo tatoo mkuu tulia tu...fata ushauri ule beer tamu.
 
Acha uzembe ndugu yangu hiyo bahati usiichezee kabisaa maana akiacha kukupenda akigundua unamchora kaz kumrudisha
 
Ila alisema ukizibua mtaro hana msamaha na wewe 😂
Siyo kweli ndugu yangu. Hakuna mahali kuna maandiko kama hayo. KRISTO alisema wazi wazi kabisa kuwa, "kila dhambi atakayoifanya mwanadamu chini ya jua atasamehewa, isipokuwa dhambi moja tu, nayo ni ya kumtukana ROHO MTAKATIFU hiyo ndiyo haitasamehewa kamwe".
Soma Mathayo 12:31
 
1. Ulikua wapi siku zote mpaka anatoboa hayo masikio matundu 100 na anachora hizo tatoo?
2. Nakama ulimkuta hivyo kwanini ulimtongoza na kua nae na still ulikua unajua kabisa hupendi aalivyo ?
 
kama ulimkuta hivyo alivyo na ukamtongoza bila kujali hizo kasoro endelea naye na kama kaharibika wakati uko naye pia endelea naye kwa maana tembo hashindwi na mkonga wake.
 
Mkuu labda nikuulize swali huyo mwanamke unampenda au humpendi kutoka rohoni!!??
na hizo tatoo zake zipo wapi kwenye maungo yake ya mwili.......
Manake kuna jamaa yangu mmoja alioa dem ana tatoo ya tak.o........
miaka mitatu iliyopita sasa hv wana watoto wawili wapo vema tu.....
 
yaani mwanamke anakutajia kabisa kukuroga halafu bado upo hapa kuuliza maswali? huoni kama ukiingia naye kwenye ndoa utakuwa mtumwa wake milele? atakuweka kwenye chupa, hata kama hatakuloga atakuwa anakupelekesha akikutishia usijejaribu kumwacha kwasababu atakuroga, na kumwacha ukiwa kwenye ndoa na watoto ni ngumu kuliko kumwacha sasahiv na hayo masikio yake.
 
Usimhurumie...
Mwanamke haurumiwi. Kwasababu wewe ndo ungekuwa yeye usingehurumiwa.

Sio kila mwanamke amezaliwa kuwa kwenye ndoa.
Slay queen never change, they improve. Take it from me.
 
Unamtukanaje roho mtakatifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…