Ukikinai umekinai tu, hata huyo atakayeolewa na huyo Son of Gamba atapatwa na taabu ya kupata tendo la ndoa. Maana alishafanya mpaka ukomo.Duuh sasa unaishije bila mbususu mkuu, ukisikia hamu unajitulizaje? vipi ukiingia kwenye ndoa una uhakika utaacha kunyandua mitaro? Si wanasema mazoea hujenga tabia🤔
Najua mapema sana ila niko katika wakati mgumu sana na shemej yenu. Huyu binti yuko katika the most highl peak of maximum desperation ya ndoa
Hata sijui nifanyaje wakuu niko naye muda ila kiukweli siwezu mwoa huyu binti kiukweli ana vigezo vyoote amebadilika tabia n all that. Well niseme tu, she used to be a slay queen enzi hizo. So ana mavitu mwilini mwake ambayo mimi siyapendi kiufupi
Ila ni bint ambae ananipenda vibaya mno..na amenielewa nyanja zote na yuko tayar kwa lolote ..juz kanambia nisipokua muelewa na anachotaka ataniroga kiutani utan ila sura yake ilikua serious. sasa wakuu
Kwa sura ni mzur umbo zuri saaana ila sasa nampelekaje home kumtambulisha mtu maskio yana matobo kama 100 mwil tatoo kadhaa znazoonekana
Well nishapiga snaa kelele hum kuhusu huyu dem kumwacha namwonea huruma basi daaah. Nayeye ndo kaniganda .naweza sema huyu dem nipo peke yangu..hyo nna uhakika 100% ni dem flan hiv free soul mzungu flain hivi keshakaa sana ulaya etc. well akikasirika huwa anasmoke sometime..hahaha
Ila kaacha, anasema sabab zaman alikua anasmoke huko Uk.
Sasa wakuu huyu dem ameniganda sana nashindwa nifanyeje had muda mwingne analia kabisa, anatia huruma. Hapa had naandika hivi kanifata sehemu yangu ya kazi anataka nimsindikize hospital. Dahhh.
Huu msalaba mzito jamani, nipen ushauri
Siyo kweli ndugu yangu. Hakuna mahali kuna maandiko kama hayo. KRISTO alisema wazi wazi kabisa kuwa, "kila dhambi atakayoifanya mwanadamu chini ya jua atasamehewa, isipokuwa dhambi moja tu, nayo ni ya kumtukana ROHO MTAKATIFU hiyo ndiyo haitasamehewa kamwe".Ila alisema ukizibua mtaro hana msamaha na wewe 😂
Hawa watu wanaitwa kina Napoleon balaa kabisa!!wanaonekana ni watu wa totoz......Kwamba Mungu anipe adhab ya kunichoma moto milele mim mtoto wake kipenz ambae kaniumba mwenyew et kisa na.tombana....haiingii akili
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww lazima utajiuliza hv mchora tatoo alifikaje mpaka kwenye maungo ya huyo mpenzi wako bila kumla......!!!?Mimi nikishamuona mtu na tatoo hua naishiwa imani juu yake
yaani mwanamke anakutajia kabisa kukuroga halafu bado upo hapa kuuliza maswali? huoni kama ukiingia naye kwenye ndoa utakuwa mtumwa wake milele? atakuweka kwenye chupa, hata kama hatakuloga atakuwa anakupelekesha akikutishia usijejaribu kumwacha kwasababu atakuroga, na kumwacha ukiwa kwenye ndoa na watoto ni ngumu kuliko kumwacha sasahiv na hayo masikio yake.Najua mapema sana ila niko katika wakati mgumu sana na shemej yenu. Huyu binti yuko katika the most highl peak of maximum desperation ya ndoa
Hata sijui nifanyaje wakuu niko naye muda ila kiukweli siwezu mwoa huyu binti kiukweli ana vigezo vyoote amebadilika tabia n all that. Well niseme tu, she used to be a slay queen enzi hizo. So ana mavitu mwilini mwake ambayo mimi siyapendi kiufupi
Ila ni bint ambae ananipenda vibaya mno..na amenielewa nyanja zote na yuko tayar kwa lolote ..juz kanambia nisipokua muelewa na anachotaka ataniroga kiutani utan ila sura yake ilikua serious. sasa wakuu
Kwa sura ni mzur umbo zuri saaana ila sasa nampelekaje home kumtambulisha mtu maskio yana matobo kama 100 mwil tatoo kadhaa znazoonekana
Well nishapiga snaa kelele hum kuhusu huyu dem kumwacha namwonea huruma basi daaah. Nayeye ndo kaniganda .naweza sema huyu dem nipo peke yangu..hyo nna uhakika 100% ni dem flan hiv free soul mzungu flain hivi keshakaa sana ulaya etc. well akikasirika huwa anasmoke sometime..hahaha
Ila kaacha, anasema sabab zaman alikua anasmoke huko Uk.
Sasa wakuu huyu dem ameniganda sana nashindwa nifanyeje had muda mwingne analia kabisa, anatia huruma. Hapa had naandika hivi kanifata sehemu yangu ya kazi anataka nimsindikize hospital. Dahhh.
Huu msalaba mzito jamani, nipen ushauri
Unamtukanaje roho mtakatifuSiyo kweli ndugu yangu. Hakuna mahali kuna maandiko kama hayo. KRISTO alisema wazi wazi kabisa kuwa, "kila dhambi atakayoifanya mwanadamu chini ya jua atasamehewa, isipokuwa dhambi moja tu, nayo ni ya kumtukana ROHO MTAKATIFU hiyo ndiyo haitasamehewa kamwe".
Soma Mathayo 12:31