Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwema bishost, upo gudMkuu
Tafuna piga chini fastaaHabari ndugu zangu.
Miaka miwili iliyo pita nilitongoza Binti mmoja mitaa ya home akanichomolea nje.sikukata tamaa mapema nikamrudia kipindi Cha pili majibu alio nipa ni kama hapo juu kichwa nilicho andika.
NO ONE WILL DIE VIRGIN BECAUSE LIFE F&CK ALL OF US
Mtakao Sema chai nimewawekea na maandazi mchukue Moja moja
Kapige mzigo halafu sepa, mpime kwanza ukimwi asikupe magonjwa bure.Habari ndugu zangu.
Miaka miwili iliyo pita nilitongoza Binti mmoja mitaa ya home akanichomolea nje.sikukata tamaa mapema nikamrudia kipindi Cha pili majibu alio nipa ni kama hapo juu kichwa nilicho andika.
NO ONE WILL DIE VIRGIN BECAUSE LIFE F&CK ALL OF US
Mtakao Sema chai nimewawekea na maandazi mchukue Moja moja
FactMoja ya kitu nilifundishwa ni kuweka akiba ya maneno
Moja ya jambo sijawahi kufanya ni kumkataa mwanaume katika namna mbaya/dharau
Nimemkaushia mkuu anapiga simu sanaYeah kurudiwa ni kawaida hiyo hasa wakitaka kukusingizia mimba baada ya kukataliwa na anaempenda
Nimemute naeIla kuna wanawake wana nyodo!! Na hapo kashasahau kashfa alizokupa.
Mkuu temana nae uyo kishoiya apite ivii.
Tatizo Sina hisia nae Tena mkuuKapige mzigo halafu sepa, mpime kwanza ukimwi asikupe magonjwa bure.
safiiNimemute nae
Hisia achia wanawake wewe baki na akili ya kumla tuTatizo Sina hisia nae Tena mkuu
HUwa sikupendigi bure Jo na unajua vile nakupendaga😍Moja ya kitu nilifundishwa ni kuweka akiba ya maneno
Moja ya jambo sijawahi kufanya ni kumkataa mwanaume katika namna mbaya/dharau
Nimemute anapiga simu sare
Achana nae huenda hata ana hiv anataka kukupaka madem so wa kuwaamini😁Nimemute anapiga simu sana
Hilonla kwanza anaweza ila hilo la pili sio inahitaji roho flani hivi ya kishetani.mpige mashine, mphire kabisa
Upo vizuri binti.Moja ya kitu nilifundishwa ni kuweka akiba ya maneno
Moja ya jambo sijawahi kufanya ni kumkataa mwanaume katika namna mbaya/dharau
ili siku hali ikiwa ngumu urudi kiurahisi siyo.Moja ya kitu nilifundishwa ni kuweka akiba ya maneno
Moja ya jambo sijawahi kufanya ni kumkataa mwanaume katika namna mbaya/dharau