Binti aliyeniambia hata tukiwa wawili duniani siwezi kuwa na wewe anataka tuwe na mahusiano

Binti aliyeniambia hata tukiwa wawili duniani siwezi kuwa na wewe anataka tuwe na mahusiano

Ukiona hivyo kakataliwa huko alikokuwa anatafuta pa kupozea machungu. kunjua roho kula hata mara mbili halafu toweka kama msukule 😀 ......
 
Mwache hakupendi,hata ukiwa naye atakuja kukucheati,haoni kuwa wewe ni mtu wa thamani,ukitaka kushusha thamani yako hapa duniani kubali kuwa nae
 
Habari ndugu zangu.


Miaka miwili iliyo pita nilitongoza Binti mmoja mitaa ya home akanichomolea nje.sikukata tamaa mapema nikamrudia kipindi Cha pili majibu alio nipa ni kama hapo juu kichwa nilicho andika.

NO ONE WILL DIE VIRGIN BECAUSE LIFE F&CK ALL OF US

Mtakao Sema chai nimewawekea na maandazi mchukue Moja moja
Tafuna piga chini fastaa
 
Habari ndugu zangu.


Miaka miwili iliyo pita nilitongoza Binti mmoja mitaa ya home akanichomolea nje.sikukata tamaa mapema nikamrudia kipindi Cha pili majibu alio nipa ni kama hapo juu kichwa nilicho andika.

NO ONE WILL DIE VIRGIN BECAUSE LIFE F&CK ALL OF US

Mtakao Sema chai nimewawekea na maandazi mchukue Moja moja
Kapige mzigo halafu sepa, mpime kwanza ukimwi asikupe magonjwa bure.
 
Moja ya kitu nilifundishwa ni kuweka akiba ya maneno

Moja ya jambo sijawahi kufanya ni kumkataa mwanaume katika namna mbaya/dharau
HUwa sikupendigi bure Jo na unajua vile nakupendaga😍
 
Moja ya kitu nilifundishwa ni kuweka akiba ya maneno

Moja ya jambo sijawahi kufanya ni kumkataa mwanaume katika namna mbaya/dharau
ili siku hali ikiwa ngumu urudi kiurahisi siyo.
 
Back
Top Bottom