Binti amenichanganya mpaka nimeshukia njiani

Miaka ya boarding tena ile ya high school, shule zikifungwa machalii wa Moshi walikuwa wanababaika sana na toto za Dar, basi stendi unakuta mtu anakupa company kuanzia saa nne mpaka basi linakuja mitaa ya saa kumi jioni, atakupeleka ukale lunch, mizigo anaweka kwenye kibanda na analipia, jina umedanganya lakini uniform za shule anazijua. Shule ikifunguliwa unasikia barua ya Sky Eclat, unakumbuka lilikuwa jina langu hili siku ile😀😀😀
 
Mkuu umenichekesha sana.
Kweli uliamua kujitoa mhanga ila haikuwa bahati yako.
Hata hivo sijui uliwaza nini mana angeweza asiwe na jamaa yake na bado akakutosa pia .
Ila pole nadhani umejifunza
 
ahahaaa we mdada wewe kumshusha mwenzio njiani jamani?
 
Hahahahahahahahahaahaahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaahahahahahahahaha
 
Jicho lako linaicha hooooi!
 
Mkuu umenichekesha sana.
Kweli uliamua kujitoa mhanga ila haikuwa bahati yako.
Hata hivo sijui uliwaza nini mana angeweza asiwe na jamaa yake na bado akakutosa pia .
Ila pole nadhani umejifunza
hakika nimejifunza mkuu,kwanza jamaa lake hata haliendani nae,nikamuonea wivu..
 
Ndo nyie mnapenda mpk watu wanahis umelishwa limbwata kumbe ni ubox wako nwenyew
 
 
Wewe
Wewe huna experience,ilitakiwa basi liliposimama kula au kuchimba dawa uhakikishe unajua anashukia wapi
 
hahaha mkuu sasa umenichekesha nakufanya nisahau mauzauza yote ya juzi, ila huyo mwana wa mbuyuni atakua aliisoma namba..eeh we mutu mubaya

Hahahahahahaa ilikuwa utoto sasahivi siwezi fanya hivyo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Ulafi wako umezidi
 
Wewe kiboko
 
si angepanda bodaboda?
haha apande boda kufukuzia nyumbu wake..teh dunia inamaajabu basi kumbe hata mimi ningekodi boda labda tungewakuta kitonga comfort ila ndio sikua na tembo tena
 
Miaka ya nyuma kidogo nilikuwa natokea morogoro to arusha. Nilikutana na mtoto aseeh ni sheeda. Nilimwelewa kinoma. Alikaa siti ya nyuma nyuma na jamaa fulani hivi alikuwa kauzu balaa.

Mimi nilikaa mbele kidogo. Nikawa namchob ile kinyume nyumee. Nikawa nafikiria namna hata ya kuongea nae niombe namba. Kidogo nikajiongeza ni kaenda walipokaa na huyo jamaa nikamwambia bro samahan unaweza kwenda kukaa siti yangu maana kuna vitu tunazungumza na sister angu hapa kabla sijashuka.

Yule mtoto alishangaa akaguna but hakuongea chochote akacheka. Jamaa akagoma akadai anataka kukaa dirishani. Tulipo fika Liverpool nikamhamisha mama niliyekuwa nimekaa nae akaenda kukaa na jamaa ila aliona aibu kukataa maana nilimtoa chips mbuzii. Jamaa alininunia hadi tunafika arusha.

Nikakaa na mtoto hadi stend. Hivyo haya mambo yapo mkuu
 
Ni ugonjwa wetu sisi wanaume
kama sio mwanaume utamuona mtoa mada ni mtu wa hovyo hovyo lakini mtoa mada ni shuja a kapigana mpaka tone la mwisho
ningekua na hela ningekuchangia nauli
Ttz co kutoa mada, ttz ni jinsi alivyoiwasilisha nikama yuko proud kumbe ujinga tu, ckatai kuwa amemuelewa binti alipaswa ajiulize maswal machache kabla ya kushuka.
Kwanza huyu dada anaweza kuwa single?
Kwan nn asiombe namba kwa ustaarabu tu ili baadae au cku nyingine afanye mawasiliano nae amjui zaid kama yuko single au anamtu?
Okay najua ni ngumu sometimes kupata no ya mtu tena hamjuani bt kama mwanaume lazma uwe na mbinu nyingi za, kumuingia mtu,.
Ttz la wanaume wengi mnapapara ndo maana mnaangukia pua,.
 
si angepanda bodaboda?

Hahahahaa sikutaka hata kuwaza anaweza fanya nini wakati akiona daladala inaondoka na mie sijashuka hahahahah. Ila pia niliwakera abiria wa ndani ya basi wale waliosimama si unajua kwenye daladala mtu akisimama halafu akasikia mtu aliyekaa amesema shusha anaanza kujiandaa kukunja kiuno ili akae. ... hehehe mimi nilisimama hapo hapo kwenye siti watu walijisogeza kama kunipisha nishuke kisha nikainama kama naokota kitu kisha niliposikia konda anauliza mwingine. ... halafu kimyaa nikakaa. Nikasikia dereva amshaa hahahaha watu nusura wasonye.
 
Kwi kwi kwi kwi lol! Umenikumbusha story moja humu miaka ya nyuma. Jamaa aliona mtoto bomba halafu wowowo lake lilikuwa si la kawaida. Jamaa alimfuata mrembo hadi mlandizi. Kufika mlandizi jamaa akasema sasa nitapata nafasi ya kumwaga sera zangu, mara jamaa anakuja na mkoko baada ya dakika chache tu za kufika pale kituoni na kumchukua yule kimwana. Jamaa akabaki kapigwa na mshangao na hivyo aanze kupanga hesabu za kurudi tena jijini Dar kwa bus.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…