Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Miaka ya boarding tena ile ya high school, shule zikifungwa machalii wa Moshi walikuwa wanababaika sana na toto za Dar, basi stendi unakuta mtu anakupa company kuanzia saa nne mpaka basi linakuja mitaa ya saa kumi jioni, atakupeleka ukale lunch, mizigo anaweka kwenye kibanda na analipia, jina umedanganya lakini uniform za shule anazijua. Shule ikifunguliwa unasikia barua ya Sky Eclat, unakumbuka lilikuwa jina langu hili siku ile😀😀😀