Binti amlalamikia mpenzi wake kwa kumvalisha pete ya shilingi elfu 23,000

Binti amlalamikia mpenzi wake kwa kumvalisha pete ya shilingi elfu 23,000

Nacheka kama mazuri vile kmmmmmk

Kuna demu wangu mmoja hivi hapo mjini TIA alinambia yeye siku ya Graduation yake anataka Gauni la kushonwa kwa nani sijui vile(wadada wa mjini mtakuwa mnajua na bei zao) gharama yake ni laki 3. Nikamwambia sawa, nasubiri hiyo siku ya kuambiwa nitoe hiyo pesa mtu akashone gauni 🤣 🤣🤣
 
Nacheka kama mazuri vile kmmmmmk

Kuna demu wangu mmoja hivi hapo mjini TIA alinambia yeye siku ya Graduation yake anataka Gauni la kushonwa kwa nani sijui vile(wadada wa mjini mtakuwa mnajua na bei zao) gharama yake ni laki 3. Nikamwambia sawa, nasubiri hiyo siku ya kuambiwa nitoe hiyo pesa mtu akashone gauni [emoji1787] [emoji1787][emoji1787]
Gauni mahari [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna baadhi ya wanawake wana ujinga mwingi, mie hata pete sijapewa ila ahadi ya ndoa ipo motomoto..[emoji23][emoji23][emoji23] wadada tusitiane tamaa jamani.
 
Daah, wanawake hawaeleweki kaka...😂😂😂
Ndiyo maana Nchi nyingi hata zilizoendelea huwa wanataka kujua juu ya mahusiano. Nafikiri wanaamini kama umeweza kuishi na Mwanamke basi utaweza kuhimili mikikimikiki ya kuongoza Watu.

Mwanamke anaweza kukuambia yeye hapendi sana bia kumbe ni mgidaji mzuri akipata fursa
 
Ndiyo maana Nchi nyingi hata zilizoendelea huwa wanataka kujua juu ya mahusiano. Nafikiri wanaamini kama umeweza kuishi na Mwanamke basi utaweza kuhimili mikikimikiki ya kuongoza Watu.

Mwanamke anaweza kukuambia yeye hapendi sana bia kumbe ni mgidaji mzuri akipata fursa
Kweli kabisa mkuu... hawa viumbe tuishi nao kwa akili!
 
Hii ni story tu lakini kuna uhalisia wa maisha ndani yake.
Chagua 1
PETE YA LAKI 4 NA PENZI FAKE
PETE YA BUKU NA ORIGINAL PENZI.

mke wangu ana pete ya uchumba ya 1,000 na ya ndoa ya 4,000.
maisha murua
Wakati ule namchumbia mke wangu aliomba nimvalishe pete,mi nikakataa na kumwambia kuwa habari za kuvalishana pete hazimo kwenye taratibu za kuchumbia katka kabila letu,hayo ni ya wazungu na mimi sio mzungu.Nachoweza kufanya ni kutoa kishika uchumba kwa mujibu wa taratibu za kabila letu.Akakataa,na Mimi pete sikumvalisha.Nikatoa mahari,tukafunga ndoa.sasa ni miaka 15,na watoto 3,na furaha tele.Huyo jamaa ampe msimamo kuwa ndoa ni zaidi ya material things.
 
Ndiyo maana Nchi nyingi hata zilizoendelea huwa wanataka kujua juu ya mahusiano. Nafikiri wanaamini kama umeweza kuishi na Mwanamke basi utaweza kuhimili mikikimikiki ya kuongoza Watu.

Mwanamke anaweza kukuambia yeye hapendi sana bia kumbe ni mgidaji mzuri akipata fursa
Hahahahahah waongo waongo sana hawa
 
Back
Top Bottom