Binti amlalamikia mpenzi wake kwa kumvalisha pete ya shilingi elfu 23,000

Binti amlalamikia mpenzi wake kwa kumvalisha pete ya shilingi elfu 23,000

Wakati ule namchumbia mke wangu aliomba nimvalishe pete,mi nikakataa na kumwambia kuwa habari za kuvalishana pete hazimo kwenye taratibu za kuchumbia katka kabila letu,hayo ni ya wazungu na mimi sio mzungu.Nachoweza kufanya ni kutoa kishika uchumba kwa mujibu wa taratibu za kabila letu.Akakataa,na Mimi pete sikumvalisha.Nikatoa mahari,tukafunga ndoa.sasa ni miaka 15,na watoto 3,na furaha tele.Huyo jamaa ampe msimamo kuwa ndoa ni zaidi ya material things.
Hii ndio misimamo ya kiume yani😅
 
Kuna movie ya Nollywood inaonyesha dada aliyejiona mzuri kuliko wote mtaani. Alikataa posa nyingi mpaka alipotokea American guy.

Alitamba mtaa mzima kuwa yeye ndiye level za kwenda Marekani. Baada ya harusi kwenda Marekani kumbe jamaa anachukua wanawake Africa kuwauza kwenye danguro lake.
 
Mapenzi na Pete wapi na wapi?[emoji848]

Sema wanawake wanapenda competition among themselves, that's y ushost siutaki, maana kuharibikiwa ni sekunde tu...
You have a good brain like you graduated from a good school, mapenzi ni ya moyoni tu sio material stuff for real! Ukiona tu uko obsessed na mavitu ya aina hio jua you aren’t ready for lifetime partnership!

Af kinachoboa mwanamke anatakaga vitu ambavyo kwa hela yake hawezi nunua hata angekuwa nayo cash😅😅😅😅 imagine mtu anataka pete za gold zikiwa mbili ni almost 6 grammes sawa na kodi yake ya mwaka mzima kwenye kigeto chake uswahilini huko! Hio yote aonekane matawi ya juu
 
Atafute inayofanana na hiyo lakini ya bei kali kwa pesa yake. Mbona rahisi tu.
 
Mapenzi na Pete wapi na wapi?[emoji848]

Sema wanawake wanapenda competition among themselves, that's y ushost siutaki, maana kuharibikiwa ni sekunde tu...
hapana bwana mwanaume anayekupenda hawezi kukupa pete ya 23k.... thats just a new low.
 
Ndiyo maana Nchi nyingi hata zilizoendelea huwa wanataka kujua juu ya mahusiano. Nafikiri wanaamini kama umeweza kuishi na Mwanamke basi utaweza kuhimili mikikimikiki ya kuongoza Watu.

Mwanamke anaweza kukuambia yeye hapendi sana bia kumbe ni mgidaji mzuri akipata fursa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna baadhi ya wanawake wana ujinga mwingi, mie hata pete sijapewa ila ahadi ya ndoa ipo motomoto..[emoji23][emoji23][emoji23] wadada tusitiane tamaa jamani.
Mfyuuuuuu
 
Nacheka kama mazuri vile kmmmmmk

Kuna demu wangu mmoja hivi hapo mjini TIA alinambia yeye siku ya Graduation yake anataka Gauni la kushonwa kwa nani sijui vile(wadada wa mjini mtakuwa mnajua na bei zao) gharama yake ni laki 3. Nikamwambia sawa, nasubiri hiyo siku ya kuambiwa nitoe hiyo pesa mtu akashone gauni [emoji1787] [emoji1787][emoji1787]
[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom