Hii ndio misimamo ya kiume yani😅Wakati ule namchumbia mke wangu aliomba nimvalishe pete,mi nikakataa na kumwambia kuwa habari za kuvalishana pete hazimo kwenye taratibu za kuchumbia katka kabila letu,hayo ni ya wazungu na mimi sio mzungu.Nachoweza kufanya ni kutoa kishika uchumba kwa mujibu wa taratibu za kabila letu.Akakataa,na Mimi pete sikumvalisha.Nikatoa mahari,tukafunga ndoa.sasa ni miaka 15,na watoto 3,na furaha tele.Huyo jamaa ampe msimamo kuwa ndoa ni zaidi ya material things.
You have a good brain like you graduated from a good school, mapenzi ni ya moyoni tu sio material stuff for real! Ukiona tu uko obsessed na mavitu ya aina hio jua you aren’t ready for lifetime partnership!Mapenzi na Pete wapi na wapi?[emoji848]
Sema wanawake wanapenda competition among themselves, that's y ushost siutaki, maana kuharibikiwa ni sekunde tu...
Ukizipata zitakusaidia kupunguza makasiriko hayo uliyonayo kuhusu wanawake.Alaf tukiisha zipata?
Hii kauli huwa inanifanya nione ongezeko la malaya jinsi linavyozidi kuwa kubwa kuliko wake.
hapana bwana mwanaume anayekupenda hawezi kukupa pete ya 23k.... thats just a new low.Mapenzi na Pete wapi na wapi?[emoji848]
Sema wanawake wanapenda competition among themselves, that's y ushost siutaki, maana kuharibikiwa ni sekunde tu...
Alimdisvalue sana daah[emoji848]hapana bwana mwanaume anayekupenda hawezi kukupa pete ya 23k.... thats just a new low.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16] nimekumbuka ile storee ya mchanaHahahahahah waongo waongo sana hawa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]Ndiyo maana Nchi nyingi hata zilizoendelea huwa wanataka kujua juu ya mahusiano. Nafikiri wanaamini kama umeweza kuishi na Mwanamke basi utaweza kuhimili mikikimikiki ya kuongoza Watu.
Mwanamke anaweza kukuambia yeye hapendi sana bia kumbe ni mgidaji mzuri akipata fursa
[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sometimes nahisi wanawake wanapenda sana drama kuliko maisha halisi, sasa bei ya pete ina uhusiano gani na penzi la kweli? Stupid
MfyuuuuuuKuna baadhi ya wanawake wana ujinga mwingi, mie hata pete sijapewa ila ahadi ya ndoa ipo motomoto..[emoji23][emoji23][emoji23] wadada tusitiane tamaa jamani.
[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nacheka kama mazuri vile kmmmmmk
Kuna demu wangu mmoja hivi hapo mjini TIA alinambia yeye siku ya Graduation yake anataka Gauni la kushonwa kwa nani sijui vile(wadada wa mjini mtakuwa mnajua na bei zao) gharama yake ni laki 3. Nikamwambia sawa, nasubiri hiyo siku ya kuambiwa nitoe hiyo pesa mtu akashone gauni [emoji1787] [emoji1787][emoji1787]
Kausha mkuu, mmoja akiiona hii comment ya kubadilisha gia angani ntapewa makavuu[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umebadilisha gia angani!! Wanawake...hahaà
Tafuta hela mkuu, la sivyo mbususu utazisikia kwenye bomba [emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]Kuna mtu amesikika akisema "anataka gauni la milioni mimi hizo hela nitazitoa wapi"