Binti amlalamikia mpenzi wake kwa kumvalisha pete ya shilingi elfu 23,000

Maisha nidhamani wewe hakuna mtu atapenda awekewe pete mkononi ya 23000seriously mie pete yangu ya uchumba ni ya gharama .

Intake kama mwanaume ambaye hana hela anakusanya kwandugu zake ifike 150000tsh ili amvishe mtu pete nzuri ya hadhi maana anamuheshimu wewe unahela halafu unamdharau mchumba wako kwa kumvisha pete ya 23000tsh seriously ??

Acha madharau na nyie wale wanaompa kichwa huyu sio fresh.
Ataishi single kama akiwa hayupo serious.
 
Pete ndio upendo?
 
Pete ndio upendo?
Ni heshima n kumuonyesha kwamba pete yenye gharama ndio hadhi yake kwamaana yeye ni wa gharama kwako.

Upendo sio kiunganisho pekee kwenye mapenzi kwa watu wapendanao bali ni heshima,uaminifu ,kujaliana ndio muhimu mtu kama unamjali unampa vitu vya gharama.

Sio vitu visivyo vyagharama bhana msitutishie kama hamtaki kuoa basi humu mliringaga tu mbona tumeolewa tuna mapacha mfululizo kama shule mbegu zenu mmebakiwa nazo
 
Kumbe mzee mwenzangu na wew upo insta kwa simulizi. Nimekubamba
 
Watu tumetofautiana , sioni kama pete ni big deal hivo hadi kucomplain eti bei rahisi,kama kweli mnapendana hata ya 10k tu inatosha bana, tatizo wadada tunapenda show off na kutambia marafiki,like hii pete babe wangu alinunua mil 3 hii, mmh for what🤔
 
Sema nini kuvaa lipete linapauka vidoleni bora usinivishe tu ...

Thahabu ina raha yake vidoleni bana, afu inaonesha mwanaume anakuthamini sana[emoji848]
Sio kweli kwamba walivalishwa dhahabu ndio wanathaminiwa sana. Sio kweli hata kidogo. Mimi mke wangu nilimpa pesa nikamwambia nina pesa hiyo kanunue pete ipime vizuri yoyote utakayochagua.

Kaenda kanunua, haikuwa ya dhahabu. Leo tuna miaka 12 kwenye ndoa. Wanaweke wengi wanapenda waonekane wanathaminiwa zaidi kuliko thamani wanayoweza kutoa maisha haya au hata pengine thamani waliyonayo. Hii sio sawa.

Kama ana akili vizuri na anayajua maisha atavaa tu pete yoyote. Kwani akiwa na hela si atanunua nyingine. Kwa nini atake vya gharama ambavyo hana uwezo wa kuvitafuta? Je ni ili ajionyeshe kwa wengine? Maana wanawake wengi wanapenda mwonekano zaidi na status kuliko kuwa wake. Wanataka mapete, mamgauni, masherehe makubwa wanakuwa exited nayo kuliko kuwa wake bora kwa waume zao. Shame!
 
Baada ya kuwaza hayo, naona swala la pete ni tamaduni ya kigeni ambayo tumeichukua toka kwa wenzetu. Nadhani kila kabika lina tamaduni zake ambazo pengine hatuzijui. Ikiwa pia ni pamoja na mavazi, vyakula na mengine mengi yanayohusu sherehe za ndoa.
 
Hahaaa wanawake bana mawazo yao sometimes mmh.....kweli tuishi nao kwa akili
 
Pete ya gharama Ni ya Nini wakati hata bikira sijakukuta nayo!?
 
Dhamani [emoji735]

Thamani[emoji3581]

Hivi unavyoliandika hilo neno ndivyo linavyo tamkwa?! Mnakera nyie vilaza wa shule za kata!
 
Ni kweli kabisa. Ila kwa story ya jamaa hapo amenyoosha maelezo kuwa alikuwa anakuja kumpatia pete nyingine huko mbeleni. Labda angefanya kumhoji taratibu na kwa upole kuwa mbona ametumia pete ya madini dhaifu ambayo yanaweza kumdhuru.
 
Reactions: Cyb
Dhamani [emoji735]

Thamani[emoji3581]

Hivi unavyoliandika hilo neno ndivyo linavyo tamkwa?! Mnakera nyie vilaza wa shule za kata!
Acha dharau mtaachwa na hiyo mikojo yenu muwe mnakojolea malaya tu haya na mashoga .
Kwani siumeelewa
 
Mimi ninavyoona kijana na huyo binti ni watu wawili tofauti. Hata mkifunga ndoa haitadumu. Ni vema kila mtu atafute mwenza wanaoendana.

Binafsi yangu kuliko kunivalisha lipete linalopauka la 23,000 ni heri ukaninunulie pete ya silver unapata nzuri kabisaa gram 3 kwa 45,000 tu.
 
Pete ya gharama Ni ya Nini wakati hata bikira sijakukuta nayo!?
Kwani vanessa rotimi alimkuta bikra??
Cheki hiyo pete amemuonesha ni wa thamani na anampenda ukimpenda mtu wako unamthamini .
Lulu je majizo kamkuta bikra ila umeona anavyompa vitu vya gharama.
Ni upendo nyie humu niwachungu bakini n mikojo yenu
 
Harusi yangu haikuwa kubwa sikuvaa gauni la harusi lililozidi laki tatu na wala ukumbi haukuwepo ilikuwa kawaida hivi tumeenda sehemu nzuri tu tukaagiza mabufee manne matano nawatu wapo kumi na tano tu marafiki ndugu wazazi/mzazi basi .
Sendoff haikuwepo mahari tu ndio ilitolewa basi waleo nipo na baba J basi.
 
Mi nilimvalisha ya buku jero, nilinunua Mwenge kwa muuza urembo. Alifurahi sana, kwani aliamini amepata mpenzi wa kweli atakayefanya naye maisha.

Hakuhitaji thamani ya pesa kwenye Pete. Alihitaji thamani ya pendo langu kwenye maisha yetu
Mimi mbona sikumvalisha? Nilimtia mimba kama sign of engagement
 
Pete ya bati jamani si bora asingemvisha pete tu. Angejikaga akapata tetanus akafa angemuoa nani. Mwanaume angempa ukweli mwanamke basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…