Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀
Hivi huko mtaani napo huwa wanaulizia pesa wanapotongozwa? Binadamu unauliza pesa kabla ya yote???Umeambiwa kama upo interested nenda pm uache maelezo na namba na wewe unataka ufuatwe pm tena, fuata maelekezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani Sexless , naomba kuuliza jinsia yako maana inanikanganya.Una hela ama una xheti tu cha uhandisi? Kama hela ipo nicheki pm tuyajenge.
Mtaani anaweza asikuulize ila akatazama kwa macho mwenyewe kama hela hapa ipo au haipo. Lazima tukubaliane kuwa katika maisha kila mtu ana kipaumbele chakeHivi huko mtaani napo huwa wanaulizia pesa wanapotongozwa? Binadamu unauliza pesa kabla ya yote???
Mkubaliane na nani? Mwanamke anayetanguliza pesa mbele ataolewa na wanaume jamii za kikongo tu wanaoishi mara moja.Mtaani anaweza asikuulize ila akatazama kwa macho mwenyewe kama hela hapa ipo au haipo. Lazima tukubaliane kuwa katika maisha kila mtu ana kipaumbele chake
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe hapo unatakiwa ukubaliane na hilo, kama nilivyosema ni suala la vipaumbele...mtu kama kipaumbele ni pesa mwache atafute mwanaume mwenye pesa anayemtaka ili afurahishe moyo wake mengine atapambana nayo mwenyeweMkubaliane na nani? Mwanamke anayetanguliza pesa mbele ataolewa na wanaume jamii za kikongo tu wanaoishi mara moja.
Na ni vibaya ndiyo maana mkitongozwa ana kwa ana hamsemi ila mtandaoni utasema.
Wewe hapo unatakiwa ukubaliane na hilo, kama nilivyosema ni suala la vipaumbele...mtu kama kipaumbele ni pesa mwache atafute mwanaume mwenye pesa anayemtaka ili afurahishe moyo wake mengine atapambana nayo mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata usipokubaliana ndio msimamo wake na ni maisha yake binafsiSikubaliani naye.
Pesa ni kipaumbele ukiwa huna na huwezi kutafuta. Ukishakuwa naye ndiyo unaanza kuzizoea na kuanza kuzunguka kuomba ushauri.
Lakini inabaki kuwa sio sahihi. Na madhara yake ni makubwa.
Tusio na mashep imekula kwetuHaya kuja PM na namba yako. Hakuna ubaguzi wa kimo wala rangi. Ni matter ya upeo, mvuto, tabia na elimu (high school & above) plus shepu nzuri.
Wewe hapo unatakiwa ukubaliane na hilo, kama nilivyosema ni suala la vipaumbele...mtu kama kipaumbele ni pesa mwache atafute mwanaume mwenye pesa anayemtaka ili afurahishe moyo wake mengine atapambana nayo mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Madhara makubwa kwako ama kwake? The problem with you men mnafight sana wanawake wafit kwenye situations zenu jambo ambalo si lazima. Mnasahau kwamba hata ninyi hamuoi mwanamke yeyote tu, tena ninyi mnaenda mbali kutaka vitu ambavyo vipo nje ya uwezo wetu mfano mzuri ni huyu mtoa mada, amesema anataka mwanamke aliyeenda shule, mwenye shepu nzuri sura nzuri sasa kuna ubaya mwanamke naye akaweka demands zake ambazo yeye zinamsuuza moyo hata kama za kipuuzi? Yeye hapa akipata mwanamke mwenye sifa zote hizo anakuwa ameridhisha moyo wake kwa asilimia kubwa vipi kuhusu muolewaji sasa? Yeye kazi yake ni kumfurahisha muoaji tu? Yeye hapaswi kufurahi? Msiwe wabinafsi sana, kama ukikutana na mwanamke anataka pesa na wewe unamtaka na sura yake nzuri na figa yake nzuri basi fanya uzitafute hata mkikutana hakuna anayekuwa kapoteza na hakuna anayemtumia mwenzie maana nyote wawili nafsi zenu zimeridhikaLakini inabaki kuwa sio sahihi. Na madhara yake ni makubwa.
Sio shepu kama unavyofikiria. Yaan shepu ya wastani ila usiwe mti mkavu.
Madhara kwake na mimi.Madhara makubwa kwako ama kwake? The problem with you men mnafight sana wanawake wafit kwenye situations zenu jambo ambalo si lazima. Mnasahau kwamba hata ninyi hamuoi mwanamke yeyote tu, tena ninyi mnaenda mbali kutaka vitu ambavyo vipo nje ya uwezo wetu mfano mzuri ni huyu mtoa mada, amesema anataka mwanamke aliyeenda shule, mwenye shepu nzuri sura nzuri sasa kuna ubaya mwanamke naye akaweka demands zake ambazo yeye zinamsuuza moyo hata kama za kipuuzi? Yeye hapa akipata mwanamke mwenye sifa zote hizo anakuwa ameridhisha moyo wake kwa asilimia kubwa vipi kuhusu muolewaji sasa? Yeye kazi yake ni kumfurahisha muoaji tu? Yeye hapaswi kufurahi? Msiwe wabinafsi sana, kama ukikutana na mwanamke anataka pesa na wewe unamtaka na sura yake nzuri na figa yake nzuri basi fanya uzitafute hata mkikutana hakuna anayekuwa kapoteza na hakuna anayemtumia mwenzie maana nyote wawili nafsi zenu zimeridhika
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti singo maza, kwani kuwa singo maza ni ulemavu? Mwanaume unajisifia kutelekeza familia hebu ona aibu japo kidogo. Na wanawake wote walioachwa na watoto wamezaa na wanaume wenye pesa?Acheni kutaka kuwa na mamlaka na pesa za mtu, ndo maana mnagegedwa na kuachwa mkiwa single maza hafu mnaanza kulalamika, mwanaume yoyote ambaye ukimkuta na pesa zake we mwanamke jiangalie hata akikuowa mtaishia kugombana maana muda wote utataka ujue pesa zake source ni nn mademu zake kama anawapa pesa nk mwishowe hamtaelewana
Sent using Jamii Forums mobile app
Tufanye kila mtu apambane na hali yake halafu tusipangianeMadhara kwake na mimi.
Sina double standards na sio wanawake tu wanaotafuta wanaume wenye pesa hadi wanaume wapo wanawatafuta nyie wenye pesa. They also make unremarkable mistakes.
Mvuto wa unayetaka kuishi naye ni muhimu saana sio kwa mwanamke wala kwa mwanaume.
Mistake ambayo wengi tunaifanya tunasukumwa na njaa, binadamu anatabia akishashiba anarudi kwenye uhalisia wake. Unashangaa umekinai. Whats next? Huyu mwanaume hanifai tuluoendana mwanzo ila sasa sijui imekuaje. Huyu mwanamke hanifai...