brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,287
Bado hajapatikana. Bahati mbaya waliokuja inbox ni wa mikoani. Nilisahau kuweka sawa inabidi awe hapa Dar es Salaam.
Duh kazi ipo kumbe ni serious!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hajapatikana. Bahati mbaya waliokuja inbox ni wa mikoani. Nilisahau kuweka sawa inabidi awe hapa Dar es Salaam.
yes ni serious so far wote hamna mwenye vigezo kamilifu.
Dah yani unatafuta .mke kama unatafuta mganga vileHabari zenu humu!
Msichana umri miaka 28-35 anahitajika kwa ajili ya ndoa. Awe mkristo, elimu ya chini kuanzia kidato cha sita, awe msichana mzuri kitabia na muonekano. Ambaye yupo tayari kuolewa na mwanaume wa umri wa miaka 50. Akiwa na kazi asiwe na kazi ni sawa. Kama ana elimu nzuri kazi atatafutiwa. Mwenye kuhitaji kuoa ana profession ya uhandisi na yupo serious. Binti awe serious,.kama ni mhuni kaa mbali. Njoo PM acha maelezo na namba. Only serious ones. Karibuni!
Ameshapata Mkuu.nataka nije?Nilisema soma kwa makini kisha tuna ujumbe PM yangu.