Binti anahitajika kwa ajili ya ndoa. Soma kwa makini

Binti anahitajika kwa ajili ya ndoa. Soma kwa makini

Eti singo maza, kwani kuwa singo maza ni ulemavu? Mwanaume unajisifia kutelekeza familia hebu ona aibu japo kidogo. Na wanawake wote walioachwa na watoto wamezaa na wanaume wenye pesa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mwanaume anayependa watoto wake wateseke, we jifikilie wazazi wako unazani waliishi bila kugombana? Wanawake wa leo hampendi kujikosoa, hampendi kujiona kama ninyi mmeolewa mnatakiwa mambo yenu yawe wazi kwa waume zenu, ndo maana kama wewe unafanya shughuli za kuingiza kipato hautataka mumeo ajue pesa zako na hatuchangia katika maendeleo. Wakati huohuo utataka mumeo atoe pesa zake kwa ajili ya kukuhudumia wewe hadi mavazi yako na usikute hata mafuta kwenye gari huweki na pesa zako unazo. Ndo maana wanaume na sisi tunatafuta faraja nje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mwanaume anayependa watoto wake wateseke, we jifikilie wazazi wako unazani waliishi bila kugombana? Wanawake wa leo hampendi kujikosoa, hampendi kujiona kama ninyi mmeolewa mnatakiwa mambo yenu yawe wazi kwa waume zenu, ndo maana kama wewe unafanya shughuli za kuingiza kipato hautataka mumeo ajue pesa zako na hatuchangia katika maendeleo. Wakati huohuo utataka mumeo atoe pesa zake kwa ajili ya kukuhudumia wewe hadi mavazi yako na usikute hata mafuta kwenye gari huweki na pesa zako unazo. Ndo maana wanaume na sisi tunatafuta faraja nje.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshahama mada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Madhara makubwa kwako ama kwake? The problem with you men mnafight sana wanawake wafit kwenye situations zenu jambo ambalo si lazima. Mnasahau kwamba hata ninyi hamuoi mwanamke yeyote tu, tena ninyi mnaenda mbali kutaka vitu ambavyo vipo nje ya uwezo wetu mfano mzuri ni huyu mtoa mada, amesema anataka mwanamke aliyeenda shule, mwenye shepu nzuri sura nzuri sasa kuna ubaya mwanamke naye akaweka demands zake ambazo yeye zinamsuuza moyo hata kama za kipuuzi? Yeye hapa akipata mwanamke mwenye sifa zote hizo anakuwa ameridhisha moyo wake kwa asilimia kubwa vipi kuhusu muolewaji sasa? Yeye kazi yake ni kumfurahisha muoaji tu? Yeye hapaswi kufurahi? Msiwe wabinafsi sana, kama ukikutana na mwanamke anataka pesa na wewe unamtaka na sura yake nzuri na figa yake nzuri basi fanya uzitafute hata mkikutana hakuna anayekuwa kapoteza na hakuna anayemtumia mwenzie maana nyote wawili nafsi zenu zimeridhika

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah tatizo mapenzi na pesa ni kama uji na mgonjwa. But when it comes to making proper choices pesa haina nafasi kubwa sana hali kadhalika shepu na rangi ya ngozi ya mtu havimati sana. Ishu ni upendo wa kweli!
 
Habari zenu humu!
Msichana umri miaka 28-35 anahitajika kwa ajili ya ndoa. Awe mkristo, elimu ya chini kuanzia kidato cha sita, awe msichana mzuri kitabia na muonekano. Ambaye yupo tayari kuolewa na mwanaume wa umri wa miaka 50. Akiwa na kazi asiwe na kazi ni sawa. Kama ana elimu nzuri kazi atatafutiwa. Mwenye kuhitaji kuoa ana profession ya uhandisi na yupo serious. Binti awe serious,.kama ni mhuni kaa mbali. Njoo PM acha maelezo na namba. Only serious ones. Karibuni!
Ila sharti la ndoa pia ni kuwa hupewi kuonja mzigo hadi ifungwe ndoa, sawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado hajapatikana. Bahati mbaya waliokuja inbox ni wa mikoani. Nilisahau kuweka sawa inabidi awe hapa Dar es Salaam.
 
Muwege wakweli huyo mjomba hajawai kuoa kweli? Kwa nini anaamua tafuta Dogo Dogo?

BTW, Miaka 50 sijui nizame pm nikale zangu Raha za dunia na pension juu😂😂😂

Nina wasiwasi na wewe Dalali mleta Uzi😁
 
Back
Top Bottom