Binti Aolewa na wanaume wawili Mapacha!

Kwa nini asiwamudu, kwani hujui kuwa wanawake wana nguvu sana kuliko sisi wanaume kwenye mambo hayo
 
Dume moja lazima litakufa. Hamnaga mapenzi ya wanume wawili kula sahani mmoja huku wakijuana. Moja lazima ataondoshwa kwa mtego.
 
mambo ya 50 kwa 50 hayo
ngoja na mimi nimtafute pacha wangu twende zetu south.

Maendeleo hayana chama
 
Ana bahati, wish ningekuwa mimi

Sent from my Infinix X5515 using Tapatalk
 
Machuichui na bible wapi na wapi?kyukyuma haitokuwa na likizo fully kushutiwa
 
Hapo mtihani ni nani atakuwa wa kwanza kupata Mambo wakati wa kuhanimunika!...kama kila mmoja akiwa na uwezo wa kupiga 3 jumla 6 kwa pamoja, mara mbili tu mdada hatatamani tena wiki nzima.
 
Hapo mtihani ni nani atakuwa wa kwanza kupata Mambo wakati wa kuhanimunika!...kama kila mmoja akiwa na uwezo wa kupiga 3 jumla 6 kwa pamoja, mara mbili tu mdada hatatamani tena wiki nzima.
Halafu hapo sasa bado kila siku morning Glory 2/2 huko kunako kutakuwa kunavutika kama lastic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…