Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan hapo itabidi atoe mzigo kila siku maana kama leo analal kwa huyu kesho kwa yule!!!! Ukiwa na m1 unaqeza skeep. Hata siku 2 sasa una wawili ukiskeep tuu gapw kubwaKwa nini asiwamudu, kwani hujui kuwa wanawake wana nguvu sana kuliko sisi wanaume kwenye mambo hayo
Lakini mwenyewe anajiamini yupo fit usiogopeMbona huyu msichana anaonekana mdogo?
Mwanamke ana uwezo wa kulala na wanaume wawili kila siku na wote wakaridhikaYaan hapo itabidi atoe mzigo kila siku maana kama leo analal kwa huyu kesho kwa yule!!!! Ukiwa na m1 unaqeza skeep. Hata siku 2 sasa una wawili ukiskeep tuu gapw kubwa
Ndio
Kwanza hiyo kila mtoto atakae zaliwa hapo atakuwa na baba wawili?Ndoa ya moja hivi karibuni kutoka katika kabila la WAZULU imekuwa gumzo baada ya Msichana mmoja kuolewa kwa ndoa moja ya kijadi na Wavulana wawili Mapacha kuwa waume zake.
Sasa swali ni kuwa atawamudu wote kwa mpigo katika yale mambo yetu, au watapangiana zamu kama zile za mume mwenye mke zaidi ya mmoja?
View attachment 1013009View attachment 1013006View attachment 1013007View attachment 1013008
Ila anaweza kumiliki dudu zaidi ya mojaMbona huyu msichana anaonekana mdogo?