Binti Aolewa na wanaume wawili Mapacha!

Binti Aolewa na wanaume wawili Mapacha!

Mwanamke ana uwezo wa kulala na wanaume wawili kila siku na wote wakaridhika
Sawa ila ukiwa mke ina maana majukumu mengi tofauti na bint! Unaamka asubuhi unafanua kaZ za ashb unaandaa may be watoto shule kufua kupika na. Kazi nyingine baada ua hapo chakula ya usiku ina maana hata kama ni mwanamke ana uwezo wa kutoa mzigo week. Nzima na. Kazi zimkaenda kama. Kawaida?
 
Wacha bwana!!
Bongo inafika lini hii?
 
Hao jamaa wana roho Ngumu sanaa.. Sidhan hii kitu kama itaworkout kadri wanavyozidi kukua.. Uanaume ni kuposses kwa sasa ujana unawatia upofu ila Umri unavyozidi kwenda Wivu utaingia Vita na mapambano yataanza..sidhani Kama wamethink deeper kwa hili.. Kwa wanawake tu japo ipo Natural kuwa possesed lakini kuna kuwa na mziki sembuse Simba mbili dume? Hii haiwezekani haitodumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kushindana na sheria asili ni kujiumiza mwenyewe.
 
Back
Top Bottom