Binti atoa penzi siku 3 bila ridhaa yake, na kesi kashindwa

Kuna ushahidi wowote? Tuanzie hapo
 
Katoka mjini kaenda kubakwa kijijini, enewei wa kulaumiwa ni Mungu kashindwa kufanya jamaa asidindishe
dah hahahaha umenifanya hakimu nicheke kwa comment yako hahahaha ok ngoja kuna boya kazurumu viwanja vya watu kama hana hela nimpige mvua za kutosha nikiripoti toka mbele ya kiti cha uhakimu hapa mahakama ya rufaa ni mimi hakimu mr pipa
 
Panapokuwa na pesa, hawa mahakimu wanapinda, huna hata haja ya kuleta vifungu ku justify uharamia.
Huyu ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Mahama si ipo huru?
Jaji ameonyesha makosa ya mawakili wa Serikali, swali je , nani alaumiwe?
 
Mahakama iliyo mfunga jamaa walikoseaa sna

Kitendo Cha kukubaliana kwennda kukala kwake Ni makosa eti Kuna waauwaji
 
Nawafikiria sana wanaosema alaumiwe binti kisa kaenda kulala kwa mtu asiyemjua.

Mlitaka alale nje?

Wasafiri wangapi wana pesa ya kutosha kiasi gari lingekwama hapo Mbarali wangeweza kulipa lodge walale?

Wangapi wangeenda nyumbani kwa Mapinduzi kwa kukosa pesa?

Mtu anajiona smart kisa kaandika vitu anavyoviona kwenye movie. Acheni hizo tabia.

Mapinduzi labda aseme nilikubaliana ngono na mdada kama malipo ya kuja kulala kwangu.
 
Binti hakufikiria sawasawa. Iringa ilikuwa ni kama nusu ya safari tu, hakutakiwa kuchukua maamuzi ya kukubaliana na huyo bwana maana muda wa kutosha bado ulikuwepo ili kumpata shangazi.
 
Alaumiwe binti kwa upumbavu wake... unakubalije kwenda kulala kwa usiyemjua? Watanzania tuna reasoning capacity ya chini sana sana hata tumbili anatuzidi!!
Kafulila😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…