Binti atoa penzi siku 3 bila ridhaa yake, na kesi kashindwa

Hakika haki ya kweli ipo Mbinguni🤣
 
Huu ndio ukweli, binti anakuwaga ameridhia ila anasingizia kubakwa baada ya kutopata alichotarajia baada ya mapenzi, nini kifanyike?
 
ukikua utaqcha
 
Wakulaumiwa ni State Attorney kwa ku cite provision ambayo sio sahihi na haiendani na ushahidi,yani kesi imesikilizwa kuanzia mahakama ya wilaya hadi hukumu inatoka hawakugundua hilo na mtego huo huo Jaji wa mahakama kuu hakuona hayo makosa kwenye rufaa hadi wazee wa juu ndio wameona.
 
Binti akiwa kakosa msaada safarini aombe msaada kwa Konda wa basi au Dereva wa Basi. Kama keshashuka Basi aombe msaada kwa Mwanamke mwenziye kwanza.
Ili ampeleke Kituo cha Polisi au Serikali ya Mtaa au Kituo cha msaada kama Kanisani, Msikitini Nk.
 
Kuna ushahidi wowote? Tuanzie hapo

Mkuu ushahidi upo wa kutosha kabisa kwenye hiyo kesi,tatizo ni kwamba huo ushahidi uliokuwepo na ambao ulitolewa na muhanga mwenyewe wa hilo tukio haukuendana na kifungu cha sheria ambacho mtuhumiwa alishitakiwa nacho,ushahidi uliotolewa unaangukia kifungu cha 130 (1) (2) (a) lakini kwenye hakti ya mashtaka kifungu kinasomeka 130 (1) (2) (b) ya Kanuni za Adhabu,kwa hiyo maelezo yalipo kwenye hati ya mashtaka hayaendani na ushahidi uliotolewa. Kwa hiyo kulikuwa na makosa kwenye uandaaji wa hati ya Mashtaka.
 
Mara ya kwanza kufika Mbeya nilikuwa nina miaka 17, nilifika 7 usiku. Sikuwa na mwenyeji nililala Lodge.
Nilikuwa naenda kidato cha tano.

Bure ni gharama. Yeye hakuwa na pesa za Guest si angelala Stendi kama abiria wengine?
M
Akalale guest apoteze pesa wakati msamaria mwema ameshajitokeza ana nyumba hapo maeneo ya Mbarali na anaishi na familia yake so hakuna risk yoyote ya kupigwa tukio la kingono!!!
Cha msingi hela ya dharura ni muhimu sana aisee.... Au angelala tu stendi kama abiria wengine as you said.
 
Kama kweli report ya Dr imethibisha kua kweli mbegu za mbakaji zimekutwa ndani ya Binti,basi Mahakama ya rufaa itakua imekosea sana kwa kupuuza report ya mtaalamu na kukimbilia kwenye mapungufu ya State Attorney ili kuitupa kesi na kumuachia Mbakaji!!
 
Nyumba za vijijini zipo mbali mbali.
Jamaa alikwenda chumbani kwake usiku saa saba akaanza kuomba mchezo, kunyimwa akamvua chupi maana dada alikuwa maevaa kanga moja pekee.
Jamaa kiona tunda akapenya.
Hivi unapajua uyole au unaandika tu?
 
Kwamba kukuta mbegu ndo kithibitisho kikubwa cha mwanamke kubakwa? Vipi nikielewana na binti baada ya muda akaenda mahakamani baada ya kuhitilafiana,napo ni ubakaji kisa wamekuta mbegu?
 
There is no sugarcoating this one. Kosa ni la mbakaji full stop!

Say no to RAPE; and real men don't RAPE women!

 
Ushahidi upi, wa video?
 
Hili la kuombwa simu kwenye bus lishakuwa changamoto, mie nilikapa simu kushuka kakaniganda eti simu ya shangazi yake haipatikani, nikakapeleka kituo cha polisi kakatoka baru
 
Nimependa ulivyoiwasilisha hii habar mkuu una kitu nakutabiria utafika mbali ashukuriwe mama Samia
 

Kuna Watu wanacheza na maisha
 
Hana hela ya kulipia gesti.

Kwa hiyo anaona abiria wanaolala Stendi ni wajinga.
Binti ameonyesha tabia za kimalaya na asiyejali maisha yake.

Unamuamini vipi mtu uliyekutana naye kwenye Basi tena kwa ujinga unaamua kwenda kabisa kulala kwake. Akikutoa kafara au kuchukua viungo vyako?

Hiyo ya kubakwa ni kosa kisheria. Lakini haina uthibitisho.
Binti naye kafanya kosa la kiusalama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…