Binti atoa penzi siku 3 bila ridhaa yake, na kesi kashindwa

Evidence zilikuwaje? What if mdada anamzingizia mkaka? Je mdada alipiga kelele ?

Tusiingie mtego wa kuwapa sana kina dada ushindi kwenye kila kesi
Ndio maana kwenye jinai unadhibitisha pasi na shaka.
 
Dah ata kama wamei twist kesi hivo sawa kaingiliwa bila ridhaa yake na sio kwa kutishiwa maisha, mbona bado ina uzito case kwann jamaa aachiwe?

Si kuna vipimo vya force entry? Iweje rapist aachiwe kama uthibitisho umenyooka? labda rushwa imetembea. Au ulakini wa story ya dada mana ukijiuliza kweli kwann alitulizana kesho yake akaliwa tena but maybe alitishiwa maisha dah! Rape ni rape bana
 
Man Rody soma sababu ya kuachiwa ni kukosea kwa vifungu vya sheria.
Hujaelewa?
Unataka mahakama ya Juu kabisa imfunge mtu aliyeshitakiwa kwa kosa tofauti?

U
 
Hakuna wa iumlaumu hapo wote wamepata uroda na hakuna alieumizwa, hivyo jamaa adai fidia kwa usumbufu ikibid mahakama iamue waoane kabisa.
 
Kimya kimya hivyo Ata kelele Haipo
 
Ni kama ume-mislead na maelezo yako kwa sababu hukumu inaonyesha kwamba ukilaza wa waendesha mashtaka na uchukuwaji wa ushahidi ndiyo umesababisha jamaa aachiwe na siyo hicho kifungu per se.
 
Man Rody soma sababu ya kuachiwa ni kukosea kwa vifungu vya sheria.
Hujaelewa?
Unataka mahakama ya Juu kabisa imfunge mtu aliyeshitakiwa kwa kosa tofauti?

U
Nmeelewa Mkuu, point yangu ni kwamba ata kama alifungua kesi kwa ishu ya kuingiliwa bila ridhaa si bado ina mantiki maana alilazimishwa? Au kama mtu alivosema hapo juu ana uwezo wa kurudia tena kufungua kwa usahihi si ndio?

Ila sio uwanja wangu huu kiongozi acha niwe mfatiliaji zaidi wa comment.
 
Alaumiwe binti kwa upumbavu wake... unakubalije kwenda kulala kwa usiyemjua? Watanzania tuna reasoning capacity ya chini sana sana hata tumbili anatuzidi!!
Kabisa Watanzania Reasoning Capacity wengi ni Empty set!!! Juzi nimemkuta mmoja katapeliwa laki 8 toka kwenye Simu Yake๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Kapigiwa simu eti Kashinda Bahati nasibu๐Ÿ˜๐Ÿ˜. Kafika Police anaulizwa hiyo bahati nasibu ulicheza wapi na lini ? .Anasema ajawai cheza ata Siku moja๐Ÿ˜๐Ÿ˜Umeshindaje sasa??? Wao walinipigia Simu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Ugali... ugali mkuu. Hii nchi CCM itatawala milele maana tuna wafu wanaotembea wengi sana!
 
Ni kama ume-mislead na maelezo yako kwa sababu hukumu inaonyesha kwamba ukilaza wa waendesha mashtaka na uchukuwaji wa ushahidi ndiyo umesababisha jamaa aachiwe na siyo hicho kifungu per se.
Unajielekeza vibaya, so long as you are not a lawyer, yaani ni LAYMAN kaa kwa kutulia .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ