Hizo credit kwenye Mathematics ni fake kwa sababu combination ilikuwa ni PCB na Maths alisoma kama subsidiary ambayo akifaulu huwa ni S na si zaidi ya hapo ila pungufu ya hapo huwa ni F! Usitudanganye hapa!
Acha uongo,mbona allocations za mikopo bado hata deadline haijafika?na pia udaktari ni unapewa mkopo tena 100%Udaktari
Hivi huwa mnasoma vizuri kweli mada,ni wapi kasema binti ana 1.6?1 point 6 anapata,tena PCB
Labda kama course imejaa,kwa maana ufaulu Mwingi Wa 1.3 mpaka 1.5
Aopt Course Nyingine,Mkopo Chap
Basi binti kakudanganyaSijasema uongo, nimepewa maelezo nakaona sielewi heri nije kwenu kwa ushauri
Usimpoteze huyo mtoto.kairuki hatopaweza,ada kubwa sanaAsante Myahudi Jr II Nitamwambia aombe kairuki
Kwahio BAM ina A ?Uko sahihi BAM siku hizi unawekewe credit
Na Je PCB Ukipata AAF na BAM A hapo una point ngapi ? Je wanaweza wakaacha hayo masomo yako principal na wakachukua hili subsidiary na ukawa na point 3 ?Kwahio BAM ina A ?
Yeah, ila haihesabiwi kwenye points za ufaulu.Kwahio BAM ina A ?
Hiyo ipo tu lakini kwenye ufaulu wa kombinesheni haihesabiwi. Zinahesabiwa zile za PCB tu. Haiongezi wala kupunguza point zako.Na Je PCB Ukipata AAF na BAM A hapo una point ngapi ? Je wanaweza wakaacha hayo masomo yako principal na wakachukua hili subsidiary na ukawa na point 3 ?
Total Confusion.... Anyway kila zama na vitabu vyake....
Amekosa udahili au ufadhili? ninachojua yametoka matokeo ya udahili,round ya pili imeshafunguliwa.aombe tena.ajaribu na vyuo vya privateHabari za jioni wakuu mabibi na mabwana
Huyu binti namfahamu tangu akiwa mtoto. Anatoka kwenye mazingira magumu kuliko ngumu wenyewe.
Hamjui baba yake mzazi, hajawahi kumsikia wala kumuona.
Mazingira ambayo mama yake hawezi kumiliki hata simu ya elfu20, hawezi lipa kodi vyumba2 vya elfu 60 uswahilini kwetu huku, hana uhakika wa kulisha watoto wake milo miwili kwa siku lakini amepambana hadi binti kafika kidato cha sita kwa msaada wa serikali na amepata hayo matokeo hapo.
Alipofaulu kidato cha nne kwenda kidato cha tano mkoani hata nauli wachana na Ile ada ya elfu70 ya Magufuli ilikua shughuli kubwa. Wakati wa kufunga shule ndio ilikua hadi walimu wapige simu kwa namba atakazowapa za ndugu na jamaa ndio arudi njiani. Yaani kwa kifupi amekua kwenye mazingira magumu nyakati zote shuleni na nyumbani
Pamoja na kuwa amesoma shule zetu za serikali tangu chekechea hadi kidato cha sita na matokeo yake ni hayo hapo, amejitahidi kadri ya uwezo wake kwa lengo la kuja kusomea masomo ya utabibu kama udaktari au maana ya lakini leo nimeumia kidogo baada ya kumkuta kajikunyata kwa huzuni baada ya kukosa ufadhili au mkopo wa serikali kwa kozi hizo ambazo ada zake zipo juu
Nimewaza nikaona nije hapa jukwaani kwa wajuzi wa mambo maana najua hapa kuna wazoefu, walimu, wasomi, washauri, wazazi wenye mapenzi mema labda Huyu binti anaweza saidika
Mtoto wa mwenzio no mtoto wako, natanguliza shukrani
Nawasilisha🤝
Cc Dada Ummy Wizara ya Afya Tanzania
Ada ya private kwa maelezo haya sidhani kama ataweza, mkopo anawezapata lakini ada ya private ni mil 5+, pamoja na kupata mkopo itabidi aongeze ada ambayo hatamudu.Amekosa udahili au ufadhili? ninachojua yametoka matokeo ya udahili,round ya pili imeshafunguliwa.aombe tena.ajaribu na vyuo vya private