Binti kamaliza form 6 na ndoto za kusomea udaktari kwa matokeo ya Division 1 ya 9; Physics C, Chemistry C, Biology C, Maths C, amekosa mkopo

Kwa vyuo binafsi anawezapata.. nina rafik ang kamaliza form six mwaka huu na alipata two ya kumi. But kaomba st. Joseph na amepata nafas ya kusoma MD. sema issue kubwa ni Ada. But kwa ufaul wake uwezekano wa kupata nafas ni mkubwa xn. Issue ni Ada tyu
 
Mimi naomba aombe ualimu.Akasome ualimu DUCE.Akasome Bed physics.Atapata mkopo asilimia zote tu.Kama ana ndoto ya udaktari basi aombe private kama St joseph',Udom (MD),Bugando ,Kairuki anaweza kupokelewa kule.Mwenyezi mungu amtangulie.

NB;Aombe Chuo mapema maana kama huna Chuo mkopo watakuwekea wapi?
 
true
 
Mweee mweee mweee, huku sii kufelishana tuu jamani
Hakuna kufeli wewe so unaona wanapasua madogo kuliko enzi za nyuma....walichofanya wametoa marks nyingi kwa continuous assessment ya mitihani ya shulen.Hivyo dogo akifaulu kule shuleni mtihani wa mwisho anafaulu kwa maana wameupa weight ndogo si kama zamani
 
😂😂😂😂
 
Hizo credit kwenye Mathematics ni fake kwa sababu combination ilikuwa ni PCB na Maths alisoma kama subsidiary ambayo akifaulu huwa ni S na si zaidi ya hapo ila pungufu ya hapo huwa ni F! Usitudanganye hapa!
Siku hizi unawekewa credit km A,B n.k

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Bugando hapatiiiiii

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Majibu ya maombi ya mkopo yametoka? Je aliomba mkopo kweli? Kwa jinsi unavyoeleza ni km wewe na yeye hamuujui mchakato wa kuomba mkopo. Kwa sasa mkopo hauangalii unosoma fani gani bali vigezo vya kupewa. Kwa kumsaidia mwambie afike ofisi za Bodi ya Mikopo akajieleze.
 
Kajuaje kama kakosa wakati Loarn Board hawajatoa walipata mkopo?,au aliombq mwaka jana 2021?
 

Anaenda kusomea mazao bahari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…