Ataishoa kulipwa kwa mbususu tuuHakuna biashara successful ukishirikiana na mwanamke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ataishoa kulipwa kwa mbususu tuuHakuna biashara successful ukishirikiana na mwanamke
Uzuri mnajijua jinsi mlivyoHaya ndo maswali anayotakiwa kujiuliza kabla hajafanya hayo maamuzi.
Watafungua biashara kimya kimya, wataishia kukulana na mwisho wa siku ataibiwa mtaji wote aliowekeza arudi kwa mke wake analialia.
Hili 100% biashara itaharibika Tu maana wanawake wanaongozwa na tamaa uvumilivu kwao ni msamiatiHakuna biashara successful ukishirikiana na mwanamke
Mbele ya mbususu hata mkiandikishana mbele ya rais hutoboiAndikishaneni kisheria..maana Kuna kugeukana
Ukifanya kosa la kuandikishana biashara ikiharibika mtaji wako unafia huko labda uwe mafia Sana akianza kusumbua unakaa zako kimya na hapati hata mia , na ushahidi Hana atabaki anakukumbuka tuMbele ya mbususu hata mkiandikishana mbele ya rais hutoboi
Inashangaza kuona kwamba nyie hamtujui. Sijui nani kawarogaUzuri mnajijua jinsi mlivyo
kwa maana mwanamke ana mkosi au?Hakuna biashara successful ukishirikiana na mwanamke
Hili nalo nenoInashangaza kuona kwamba nyie hamtujui. Sijui nani kawaroga
Na huyu ndugu yenu hatasikiliza ushauri wa yoyote anayemkataza kufanya hivyo. Trust me broHili nalo neno
Alafu ujue ni kweli usemalo maana hapo kashaona tako 🤣🤣🤣🤣Na huyu ndugu yenu hatasikiliza ushauri wa yoyote anayemkataza kufanya hivyo. Trust me bro
nitazingatia mkuu nipo pembeni nachukua notes🖋🖋Na huyu ndugu yenu hatasikiliza ushauri wa yoyote anayemkataza kufanya hivyo. Trust me bro
Goodnitazingatia mkuu nipo pembeni nachukua notes🖋🖋
😂😂😂acha uzushi kiongoziAlafu ujue ni kweli usemalo maana hapo kashaona tako 🤣🤣🤣🤣
Ah kwwli nakwambia ukishaona tako basi masuala ya msingi huzingatii😂😂😂acha uzushi kiongozi
😆asiyekujua atasema haya maneno ya baba paroko kabisa kumbe....Ah kwwli nakwambia ukishaona tako basi masuala ya msingi huzingatii
Yalishanitokea mie hayo
asante kwa baraka zako kiongozi
kiongozi bila shaka ulisinzia kdogo tunaongelea mambo ya biasharaMtie mimba kwanza
hii ilikuwa na ulazima?2025 yanga bingwa