Chrysanthemum
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 1,531
- 5,787
Mkakati wa biashara umekaaje ? 1Mnachangia mtaji nusu kwa nusu au wewe ndo unatoa mtaji ? kama mnachanga piga nae kazi , kama ni wewe tu piga chini.
2. Wazo la biashara ni lake au lako ?
Kama ni lake piga chini , kama ni la kwako anataka kuunga juhudi za chama fresh.
3 Kama idea ya biashara ni yako je una uzoefu na hiyo biashara ? Kama ndo wazo na ndo mara ya kwanza piga chini hiyo patnership.
4.Ana uelewa wowote au aliwahi kufanya biashara na ni kitu anachopenda ! Kama hana uzoefu piga mtagombana !
5.Kama una matamanio nae au uliwahi mtamani na mna mazoea yanayovuka mipaka , Piga chini biashara itakua ya dharau itakufa.
2. Wazo la biashara ni lake au lako ?
Kama ni lake piga chini , kama ni la kwako anataka kuunga juhudi za chama fresh.
3 Kama idea ya biashara ni yako je una uzoefu na hiyo biashara ? Kama ndo wazo na ndo mara ya kwanza piga chini hiyo patnership.
4.Ana uelewa wowote au aliwahi kufanya biashara na ni kitu anachopenda ! Kama hana uzoefu piga mtagombana !
5.Kama una matamanio nae au uliwahi mtamani na mna mazoea yanayovuka mipaka , Piga chini biashara itakua ya dharau itakufa.