Binti (Mwanafunzi wa Chuo) auliwa na maiti kufichwa

R.I.P mrembo hivi wauaji walikosa adhabj hata kama aliwakosea adhabu waliyompa ni kubwa mno kila mtu ana haki ya kuishi
 
Kuna watu wa ajabu sana huu ni ukatili wa hali ya juu
 
nyumba kubwa njoo upate stress

Heee...
Tanzania sasa tunataka kuwa kama Mexico na nchi nyingine za Latin America...

Sijui nini kisa jamani...

Maana hapo lazima kuna hasira kwa hao wauaji...haiwezekani waue afu na picha wapige maiti na kusambaza...eeeh Mungu tusaidie tusiwe kama wanyama...

Hii lazima iwe drugs au mchepuko....

Kuna mdada mwingine wa IFM maiti iliokotwa beach...mpaka wa leo nadhani wauaji hawajapatikana....
 
Ndio u great thinker wenyewe kuangalia possibilities...
Otherwise unadhani wahusika watajulikana vipi kama si kwa kuanza kuuliza kama alikuwa nyumba ndogo ya fulani???? Unajua maana ya intelejensia

 
Poleni dinazade.nimrpewa taarifa na binti yangu anayesoma hapo bagamoyo hadi mwili uknisisimka.
 
Poleni dinazade.nimrpewa taarifa na binti yangu anayesoma hapo bagamoyo hadi mwili uknisisimka.

Ahsante ehee anasemaje kuhusu tukio lilivyokua,mimi ni rafiki tu wa hawa ndugu wa marehemu
 
Huyo binti alikuwa anafanya kazi maktaba ya Taifa? nimejaribu kufacebook hilo jina uliloweka hapo juu

Alikua chuo ndio alikua anaetegemea kumaliza mwakani
 
Inasikitisha.....Mungu atamlipia tu...Hawezi kumuacha afe kidhalili hivi bure bure....atalipa tu...
 
Nimesoma mahalI kuwa alienda date mliman city...huyo mtu walijuana Facebook na ndo mara ya kwanza kwenda kumeet...jamani blind date sio nzurii mabinti....nna shoga yangu anapenda sana blind date ...anatamaa

Yap nami nasikia hivyo,,,umeisoma wapi nami nikasomee
Ndo tujifunze, sasa si angekula mzigo tu na kusepa kumuua aliwakosea ninii,,,,na hivi alikua black beuty
 

Nahisi hivyo lo utamuuaje mtu hajakukosea, ,itakua hayo mambo ya kishirikina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…