McMug
JF-Expert Member
- Sep 14, 2020
- 209
- 200
Apo tu aliposema 'au bac tu' we ungesema sawa, inaelekea ulikua na shda ya kutoa pesa tuSiku ya pili baada ya kutongoza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apo tu aliposema 'au bac tu' we ungesema sawa, inaelekea ulikua na shda ya kutoa pesa tuSiku ya pili baada ya kutongoza
Kumbe mwanamke kudanga ni akili?! Okay sawa sawa.Wanawake wa siku hizi wanna akili saana kuliko wa zamani
Zamani binti kama hakutaki alikuwa hataki hata kukutana na wewe
Hawa awamu hii wakakaa kikao wakajadili kwamba kumwambia mtu mzima mwenzio kwamba sikutaki siyo ustarabu
Wengi wao wakaona iwe fursa yaani ukiona mtu hujamwelewa lakini yeye kang'ang'ana wewe shusha nyavu zako vua kadri ya uwezo wako
Vijana wengi mmejikuta mko njia panda kwa kukosa maarifa
"MWANAMKE MWENYE NIA NZURI HAKUOMBI HELA"
Labda awe amebanwa kwelikweli
100000 kwa hapa uswahilini kwetu ni kodi ya miezi 5
Ushauri Muruaa kabisaHadi umekuja kutuuliza hapa ina maana akili yako inafanya kazi sawa sawa na imeshakwambia cha kufanya ila shida ni kwamba moyo wako unakushauri vinginevyo na ndipo hapo shida inaanza.
Ila nikuulize swali, kwani tokea umeanza kuvutiwa na pisi kali huyo ni binti wa ngapi unakutana nae na unamtokea.....?!
Kama ni wa kwanza then basi jaribu tu kutafakari mabinti wangapi utakuja waona siku za baadae huko mbeleni, na kama sio wa kwanza then why una pressure na huyu as if ni binti wa kwanza kumuona si upishane nae kama hao wengine unaopishana nao huko njiani na hamkusemeshana wala nini, pisi kali bado zipo endelea kumingle watoto wazuri wapo.
Hiyo laki yako, 50,000 mtumie bi mkubwa kwenye simu mwambie zawadi yako mamushka nakupenda sana , halafu hiyo 50,000 nyingine 25,000 weka kwenye sim kama akiba 25,000 mshtue yule mwanao wa shida na raha mkae pub mnunulie bia 4 na kuku nusu, muwekee na vocha halafu subiria baraka zako kutoka kwa MUNGU. Achana na wadangaji hao hawanaga faida wala manufaa zaidi ya kukuletea magonjwa na madeni na stress za maisha.
Live your life.... Someone is waiting for you somewhere.
Wewe mwenyewe hujajitambua. Mwanaume unawashwishije watu wajambe?Hebu acha ujinga kaka, mpe tuu hiyo 100k, yaani LAKI tu, unapiga kelele namna hiyo,
Duh! Wanaume tujitambue jamani.
Life is Journey bro,,,,,,,,, ww Jamba tu😁😃😁😃Wewe mwenyewe hujajitambua. Mwanaume unawashwishije watu wajambe?
Na wewe muombe kumdinya!Wakuu habari za muda huu,
Nisiwachoshe na mambo mengi ngoja nije moja kwa moja kwenye mada. Wiki iliyopita katika harakati zangu za kutafuta nilikutana na binti mrembo kiasi.
Kama mjuavyo hulka ya mwanaume anapokutana na pisi lazima utesti mambo. Kwangu pia ilikua hivi toka siku nilipokutana na huyo mrembo niakaaza kumtongoza kwa sababu tayari nilishachukua namba yake licha ya yeye kuto toa jibu la kunikubalia.
Leo kanitumia meseji ya kuniomba shilingi 100,000 kwa masharti ya kumuazima na atarudisha baadae ya wiki 2 Mara baada ya kupokea mshahara kwa kuwa ni mfanyakazi.
Binafsi sijamjibu na sijajua mpaka sasa namjibu nini, nimeamua kuandika hapa ili kuomba ushauri kwamba pisi unayoitokea inapokuomba uiazime pesa itaweza kurejesha kweli? Lakini pia kama ikitokea nikamwazima hiyo pesa ataweka uzito wa kuirejesha kweli?
Kutombaner nako tunamwachia Mungu?Mi naona kama unatoa, toa tu ayo mengine mwachie Mungu😁😁😁 ila ki kawaida iyo hairudi
Toa hela wewe...kama vp muite umnyonyeWakuu habari za muda huu,
Nisiwachoshe na mambo mengi ngoja nije moja kwa moja kwenye mada. Wiki iliyopita katika harakati zangu za kutafuta nilikutana na binti mrembo kiasi.
Kama mjuavyo hulka ya mwanaume anapokutana na pisi lazima utesti mambo. Kwangu pia ilikua hivi toka siku nilipokutana na huyo mrembo niakaaza kumtongoza kwa sababu tayari nilishachukua namba yake licha ya yeye kuto toa jibu la kunikubalia.
Leo kanitumia meseji ya kuniomba shilingi 100,000 kwa masharti ya kumuazima na atarudisha baadae ya wiki 2 Mara baada ya kupokea mshahara kwa kuwa ni mfanyakazi.
Binafsi sijamjibu na sijajua mpaka sasa namjibu nini, nimeamua kuandika hapa ili kuomba ushauri kwamba pisi unayoitokea inapokuomba uiazime pesa itaweza kurejesha kweli? Lakini pia kama ikitokea nikamwazima hiyo pesa ataweka uzito wa kuirejesha kweli?