Binti wa bongo fleva ninayempenda sana

Mbona hiyo mbinu ndogo sana

Anaweza kumwambia ana duka la nguo anahitaji kumtumia kwa matangazo
waonane wapi...
wadada wa instagram we waambie una biashara unataka watangaze kwenye page zao
utashangaa..
Duh we ni wa nchi hii kweli maana hayo maswaga si ya nchii hii umetisha mtu wangu endelea kupolomosha maujanja
 
Jamaa Yuko safi sana kchwani nna was was kama hakua kiranja wa zamu mirembe maana sio kwa ujiniaz huo [emoji23] [emoji23] [emoji23].
Jokes.
Mimi kaniogopesha ndo maana madada zetu hudanganywa sana maana si kwa uongo huo
 
Duh we ni wa nchi hii kweli maana hayo maswaga si ya nchii hii umetisha mtu wangu endelea kupolomosha maujanja
Dah we jamaa hatari kwa afya.... Weka mbali na madem[emoji15] [emoji15]
 
Ndio,that's y nkaanza na kusema huko vizuri.
But msikilize na Nancy mkuu. Utaelewa Nina maanisha nni...si wakumdharau Hata kidogo
Acha kulinganisha mziki mzuri wa maua na huyo sijui na nani wako

Maua ni habali nyingine kabisa, kabinti ka bongo freva ninakokapenda
 
Mi kaugonjwa kangu kapo kwa presenta wa xxl Mamy baby yani nakazimia sana kale kadada kanaonekana kataalam sana ka kucheza na maiki kanaimeza yootee
 
Kako vizuri 6x6 katoto kakitanga hako,kanafinyia kwa ndani
 
Nampenda sana yule mtoto Rosa Lee....Sijui mchanga yule Sijui mmasai ila nazipenda sana Swagger zake za midomo na ile style yake ya nywele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…