Huyu binti hajui lolote kuhusu tabia mbaya za Marehemu Baba Yake,pole sana binti lakini napenda kukushauri kuachana
Na jambo hili endelea tu kumuombea Mungu Baba Yako mungu amsamehe kwa yote aliyotenda hapa Duniani
Ni toa mfano Akiwa Mkuu wa mkoa Mtwara alishiriki na kufanikiwa njama ambazo Ndugu Yetu alihukumiwa miaka zaidi ya mitatu
Kwenda jela na kuchapwa viboko kwa mambo ya kusingiziwa kisa mwanamke moja wa hapo mjini Mtwara
Sasa sisi ndugu tuliomba mungu sana lakini mambo haya Kuwa rahisi pamoja na rufaa bado kleruu aliweka mkono wake hukumu
Ile ikabaki pale pale tukakata rufaa tena hukumu ikabaki pale pale mwisho kwa uwezo wa mungu na juhudi kubwa katika Mahakama ya Africa Mashariki ndiyo jamaa Yetu akatoka na Kuwa Huru sasa wewe unalilia nini sisi tulilia sana maana ndugu
Yetu alikuwa ndiyo jembe pekee kwanye familia Yetu kisa Mwanamke looo Aibuu Mkuu wa Mkoa unagombea mwanamke
Basi tulifanya Dua kubwa sana Kama kawaida malipo ni hapa hapa Duniani
Asalaam alykuum