MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,011
- 2,185
haji rashid,
Kwa hiyo ni haya haya ya leo ya Babu Seya kama tunavyosikia?
Nilisikia huko Z´bar pia Karume na wanawake ilikuwa ni sehemu ya sifa zake za kujivunia, leo hii hayasemwi. Jumbe niliwahi kusikia akimfunga mtu Kagera kwa sababu ya mwanamama. Kawawa naye kijogoo akiwinda watoto wa shule kila ziara!
Leo hii ni mashujaa. Labda siku tukiambiwa ukweli wa wanadamu hawa tutaweza kuwapa hukumu wanayostahili.
Ni vibaya kumtakia mwenzako kifo lakini pia Viongozi wanapojiona wana kinga ya yote na wanaagiza watu wapigwe tu yaonyesha udhaifu mkubwa wa akili zao.
Kwa hiyo ni haya haya ya leo ya Babu Seya kama tunavyosikia?
Nilisikia huko Z´bar pia Karume na wanawake ilikuwa ni sehemu ya sifa zake za kujivunia, leo hii hayasemwi. Jumbe niliwahi kusikia akimfunga mtu Kagera kwa sababu ya mwanamama. Kawawa naye kijogoo akiwinda watoto wa shule kila ziara!
Leo hii ni mashujaa. Labda siku tukiambiwa ukweli wa wanadamu hawa tutaweza kuwapa hukumu wanayostahili.
Ni vibaya kumtakia mwenzako kifo lakini pia Viongozi wanapojiona wana kinga ya yote na wanaagiza watu wapigwe tu yaonyesha udhaifu mkubwa wa akili zao.