Binti wa Dkt. Wilbert Kleruu atoa ya moyoni

Mie nilivyosikia, kileruu, alimchukua mke wa huyo Mwamundi, tena akawa anamkejeli mwenye mke wake
Ni sehemu pekee inayofichwa na wanahistoria kuhusu uchafu wa huyu mzee mm personally nilisimuliwa na babu yangu mazuri na mabaya ya huyu anaitwa Kreluu intact alikuwa muonevu na mbabe wa kijinga. Kwa sehemu kama Iringa na wakati ule alijichanganya angeenda kuleta uhuni wake Moshi sio Iringa
 
Hii historia huwezi ipata Kalenga,kalenga uliza kuhusu mkwawa utaelezwa. Mwamwindi nenda isimani ndo watamueleza vizur. Nimewahi kuishi kalenga kwa miaka 3 hawajui lolote kuhusu hilo
 
Hii habari ya Krismas ndio naisikia kwako.
 
Dah huyu Kleruu inaonekana Israel alikuwa anamwita asee. Na huyu mzee Mwamwindi nae inaonekana aliamua kujitoa kwaajili ya wenzake.

Kumbe Tanzania kuna historia ambazo sisi kizazi cha .com hatuzifahamu.
 
Historia inatukumbusha na kutufundisha mambo mengi sana.
 
Ndio ulivyodanganywa?
Dr. Wilbert Kleruu - Utata wa kifo chake, historia na maisha yake - JamiiForums
 
Hii sotry sio ya kweli, tafuteni sababu hasa na mfahamu kilichotokea
Sasa wewe unayebisha ndio utoe ukweli maana huwezi kubishia kitu usichokijua other wise kama huamini una kaa kimya. Lakini kubisha na kuwataka hao hao wanaokuambia watafute ukweli wakati wewe mwenyewe huna huo ukweli ina kuwa haina maana.
 
Hii sotry sio ya kweli, tafuteni sababu hasa na mfahamu kilichotokea
Sasa wewe unayebisha ndio utoe ukweli maana huwezi kubishia kitu usichokijua other wise kama huamini una kaa kimya. Lakini kubisha na kuwataka hao hao wanaokuambia watafute ukweli wakati wewe mwenyewe huna huo ukweli ina kuwa haina maana.
 
Mungu amweke Dr Kleruu Mahali anapositahili
... yaani huyo Mungu kila siku anabadilisha mahali anapoweka marehemu? Nachojua akishaweka mtu pahala pake ni mara moja tu na habadilishi. Kleruu alishawekwa anapostahili siku ile ya Desemba 25, 1971 na hatobadilishiwa kikao kamwe!
 
it was very poor judgement kwa upande wa mzee mohamed kwani hata kama alifanya hivyo death penalty was not appropriate. i beleive yeye alipewa full access to the court of law and receive fair justice.
Yes!!! Kesi iliamuliwa kisiasa na kwa hasira!!! Imagine raisi anasign hukumu ya kifo wakati alikuwa mgumu sana kisign!!!! Hasira hasara kwa both sides. Hasira ilimponza Mwamwindi na hasira hiyo hiyo ikahukumu kifo chake!! Very sorry!
 
Kwa miaka sita sasa, tumekua na ma Kleruu wengi mno. On the flip side, akina Maalim Ustaadh Mkulima Mzee Mwamwindi hawapo
 
Kwa miaka sita sasa, tumekua na ma Kleruu wengi mno. On the flip side, akina Maalim Ustaadh Mkulima Mzee Mwamwindi hawapo
Masikini wameamua kukaa kimya tu. Waliamua ku-lay a low profile!!! Na nadhani waliamua vizuri maana hasira dhidi ya baba yao ingewakumba wangeishia pabaya.
 
Reactions: Pep
Kwa miaka sita sasa, tumekua na ma Kleruu wengi mno. On the flip side, akina Maalim Ustaadh Mkulima Mzee Mwamwindi hawapo
Wapo na wanaishi block 41 moroco
Wana utata na msimamo fulani,inawezekana
Hiyo ni asili yao

Ova
 
Reactions: Pep
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…