Binti wa Dkt. Wilbert Kleruu atoa ya moyoni

Pasco original huyu [emoji1666][emoji1666]
 
Aiseeee [emoji134][emoji134] vipi uliwapata wazee wa kihehe mkuuu??
 
Ukweli ni kwamba, kama alivyowahi kusema Mzee Ally Hassan Mwinyi, binadamu yeyote hapa duniani maisha yake ni kama hadithi, hivyo binadamu tunatakiwa kuacha hadithi nzuri hapa duniani,short of that ni ngonjera tuu kama za akina Adolf Hitler au Iddi Amini dada...
 
Hivi watu wameanzia wapi hadi kuanza kutukumbusha mambo ya 43 years ago? Can someone tell me how do we go from mourning the victims of MV Nyerere to discussing nineteenth centuary communism?
Kuna aliyekushikia bunduki uje kwenye huu uzi??
 
Kama bado upo humu ndani mkuu hebu tunyoosheee maelezo kuhusu huyu RC, nini hasa lilikuwa tatizo lake hapo Iringa miaka hiyo? Ufuska? Ulevi wa pombe au ulevi wa madaraka?? Hebu funguka ili vijana wa kizazi hiki wajifunze...
 
Hii historia huwezi ipata Kalenga,kalenga uliza kuhusu mkwawa utaelezwa. Mwamwindi nenda isimani ndo watamueleza vizur. Nimewahi kuishi kalenga kwa miaka 3 hawajui lolote kuhusu hilo
Sasa una uhakika gani kwamba akienda Ismani ndiyo ataipata? Mbona wewe hujaipata? Halafu baadae akitokea mzungu akaiweka hii stori vizuri kwenye vitabu tunaanza kulia lia oooh mabeberu waongo oooh siyo kweli.... Yaani full ujinga tuuu....
 
Historia inatukumbusha na kutufundisha mambo mengi sana.
Sisi Waafrika ni full unafiki, yaani kujitokeza na kuweka sahihi historia ya matukio ni shidaaa.... Akijitokeza mzungu kuweka wazi hiyo historia pia ni shidaaa..
 
Sasa wewe unayebisha ndio utoe ukweli maana huwezi kubishia kitu usichokijua other wise kama huamini una kaa kimya. Lakini kubisha na kuwataka hao hao wanaokuambia watafute ukweli wakati wewe mwenyewe huna huo ukweli ina kuwa haina maana.
Ndiyo shida ya wabongo... Sasa subiri atokee mzungu aende huko Ismani na kuhoji na kuandika kitabu kuhusu hicho kisa sasa...
 
Kleruu TTC ni miongoni mwa vyuo bora kabisa vya waalimu wa sayansi kuwahi kujengwa.ilikuwa mwaka wa 1970 msaada toka Denmark
Usitudanganye mkuu, kwabahati nzuri Sana nimekaa hapo Kreluu TTC zaidi ya miezi miwili kwenye ile rest house yao!! Ni chuo Cha kawaida sana kimiundombinu Hadi mazingira hiyo ni 2014, Hata sehemu za michezo ni Kama Shule ya msingi flan tu!! Angalau hata Tarime TTC Wana viwanja vizuri!!

Kwangu Butimba TTC kilichojengwa 1938 kinabaki kuwa chuo Bora kabisa ambacho nimepata nafasi kuvishuhudia!!
 
MKUU ACHA MASiHARA KABISA, HUIJUI KLERRUU WEWE, MIMI NIMESOMA SECONDARI HAPO, HIKO CHUO KILIFAA KIWE CHUO KIKUU,MAJENGO YAKE HAYANA TOFAUTI NA YA UDSM...HAPO COET MAANA NIMESOMA HAPO PIA,

UNAFANANISHA NA BUTIMBA HII KAMA SECONDARY?



KLERRUU NI HII HAPA CHINI NDIO UFANANISHE NA BUTIMBA? MIMI NIMESOMA SECONDARY YA KLERRUU , LABALATORY TULIKUWA TUNATUMIA ZA HIKI CHUO, NI ZA KISASA, MAJENGO ASILIMIA 90 NI GHOROFA, HADI MABWENI YAO... KIFUPI KINAZIDI VYUO VIKUU VINGI TU





HIZI ZA CHINI NI LABARATORY ZAO, SISI WA SECONDARY TULIKUWA TUNAZITUMIA NI ZA KISASA

 
Kwa kuiongezea tu, Dr. Kleruu alikuwa anatembea na mke mdogo wa Said Mwamwindi, na jamaa alikuwa anajua na alishawahi kugombana nae Mara kadhaa. Kleruu alikuwa anatumia cheo chake na Mwamwindi kama walivyo wahehe huwa ni watu wa kunyamaza Ila siku hiyo ndio ikawa mwisho wa dharau.

Jamaa alienda zake shambani kwake akiendelea na shughuli ndipo kleruu akamfuata shbani na kuanza kumharass na hayo Mambo kwamba hiyo no sikukuu why analika na Mambo kama hayo.

Hapo Mwamwindi alimwambia subiri nitakuonyesha, na alivyo mjinga, kleruu akabaki anamsubiri, ndipo jamaa alipoenda kuchukua gobole akamuwasha na kumpakia kwenye landrover yake na kumbwaga police central akawaambia askari kachukueni mbwa yenu , jamaa kwenda kucheki kwenye gari wakamkuta RC.

Actually Said Mwamwindi pia alikuwa ni mtu anafahamika sana sababu alikuwa ni mkulima mkubwa pale Iringa.

So kimsingi kifo Cha Kleruu kilifichika haswa lakini kimetokana na personal beef na haswa Kleruu alikuwa na tabia ya kumharass wahehe na kwa Mwamwindi alifikia Hadi kutembea na mke mdogo wa jamaa Ila alinyamaza tu.
 
Naona hujui kitu kuhusu Kleruu. Alikuwa mshenzi sana, but in short Kleruu alikuwa na personal issues kati yake na Mwamwindi. Kumbuka Mwamwindi alikuwa mkulima tajiri na alikuwa na mke mdogo ambae Kleruu alikuwa anatembea nae kwa kutumia cheo chake.

So hata hii ya kumfuata shambani waweza kujiuliza kwa nini RC mzima amfuate shambani mtu na ni sikukuu na yeye ni mkristo angeendelea na sikukuu? What was so special ilimpeleka shbani kwa Saidi?

Kumbuka alishataka kumnyang'anya Yale mashamba ayaingize kwenye villagization wakati yeye Said alikuwa amehangaika kuyafyeka mapori na analima miaka yote .

Kleruu alikuwa na issues na Saidi so alimprovoke although provocation alinitumia kama defense mahakamani ukishindwa kusustain kisheria.

It was too much for him akaona sasa huyu jamaa anamletea dharau. The rest ni story tamu maana alimpakia kwenye landrover nyuma akampeleka central police akawaambia kachukueni mbwa yenu. Jamaa wanaenda wanakuta RC .

It was too much hakukubali Ile dharau, mashamba yachukuliwe na serikali, ingali mapori yapo mengi tu, kwa nini wachukue ya kwake ambayo analima kila mwaka?

Mke mdogo achukuliwe, sasa na jamaa aamua ashinde zake shambani Tena anafuatwa na kejeli, hakuna mhehe atakayekuacha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…