Binti wa jirani yetu aliwahi kuchukuliwa kwenda kusomeshwa kumbe anapelekwa kwenye mafunzo ya Ugaidi Al Shabab Kenya

binti alitoka mwanza chief? kuna stori inafanana na hii, ngoja tuone
 
Huwezi kusoma uislam kwa kiarabu kwa miezi minne ukafaulu,hiyo ni sawa ufundishwe ukiristo kwa kiingereza miezi minne na ufaulu/umudu,acha uwongo,kwani ukiendelea kumuomba yesu bila chuki kwa dini zingine hutoupata ufalme wa milele!?
 
Unasema ni chai ya moto kabisa, na wakati kuna Watanzania kibao tu wamekamatwa, kuuwawa, na hata wengine kufungwa huko Kenya kwa sababu ya kushiriki hivyo vitendo vya kigaidi, baada ya kurubuniwa na watu wasio wema!!
Huwezi soma kiarabu miezi ukakimudu, achilia mbali kusoma dini.. story yake ya uwongo,Kuna ukuaji wa wakiristo siasa Kali,Wana chuki Sana na uislam/waislam,ni hatari,tuwakumbushe tu kuwa Kuna wendawazimu wenzao wengi tu kwenye uislam,na matunda yake watayala wakiendelea na huo ujinga
 
Another Rubbish in the City,kuvaa rozari tu hujui upo bize kupekuwa umbeya .You are Stupid.!!
 
Huwezi kusoma uislam kwa kiarabu kwa miezi minne ukafaulu,hiyo ni sawa ufundishwe ukiristo kwa kiingereza miezi minne na ufaulu/umudu,acha uwongo,kwani ukiendelea kumuomba yesu bila chuki kwa dini zingine hutoupata ufalme wa milele!?
Mkuu ukristo unaingiaje apo mbn kama umepanic
 
Inawezekana ikawa ni story ya kutunga. Sawa. Ila tukija kwenye uhalisia, ni kweli kuna baadhi ya watu wasio na nia njema, wamekuwa wakiwarubuni vijana kujiunga na makundi ya kigaidi kama Al Shaabab, nk.

Hivyo jamii inatakiwa kuwa macho. Maana mwisho wa siku familia za hao vijana ndizo zinazoathirika kwa kuwapoteza wapendwa wao.
 
Hatari sana hii dini, jameni huwa nina wasiwasi sana na baadhi ya haya mzombi yaliyo karibu na vitufe vya nyuklia kama Pakistan, sijui mbinu gani hutumika kuwadhibiti.
 
NINACHO JUA YESU KRISTO ANAFUNDISHA UPENDO TENA ANASEMA UMPENDE ADUI YAKO.

SISI HUKU HATUFUNDISHWI KUCHINJA WATU HATA WAISLAM TUNAFUNDISHWA KUWAPENDA NA KUWAFUNDISHA MUNGU WA KWELI ANAYE TENDA KAZI KWA MWANAE YESU KRISTO.
 
Uong Hamna ukweli wowote hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…