Binti wa kishua kanipenda ila nina mke na mtoto

Binti wa kishua kanipenda ila nina mke na mtoto

Usihusishe umasikini wako na mapenzi directly kwenye kila kitu, kakuomba utenge siku mje mfahamiane vizuri hiyo siku ww mwambie ukwel wa life lako kuwa umeoa na una familia(hapa sifia zaidi kuwa na familia, elezea ni kwajinsi gan unafurahia kuona familia yako ikiwa inafuraha, na kwajins gan unajitaid kuilinda furaha ya familia yako ), hii itamfanya aone ww kwel ni mwanaume na sio mvulana, atajua ni kwajins gan unathamini watu wako na kuwalinda.

Faida ya kumweleza hiv ni kuwa atakuona ww ni mwaminifu zaid ya alivyo fikria, unathamin watu zaid ya alivyo fikria, utampa moyo wa kukusaidia( kukuconnect na watu watakao kusaidia kwenye shughuri zako au yy mwenyewe kusupport shughuri zako). Hayo ya kukupenda wewe yaondoe akilin mwako kwanza
 
Buheri mazee

Ebhana majuzi kati hapa nilikua napita zangu kandokando ya barabara kwambali nikaona gari imesimama nilivyoikaribia na kuanza kuipita ghafla ilitoka pisi kali Sana ikaniita"samahani kaka" nikasema bila samahani,
Bro, siku zote mwanamke hana huruma na maisha yako, na pengine labda ni kwasababu hua hawaoni kama kuna hatari yoyote mbeke ya safari au they dont care ata all.
Kwaio ukiruhusu mwanamke akushikie akili zako atazishika kwelikweli na atazitumia effectively.

Mimi (nkiwa form 4 shule ya boys) nlikamatwa na dem (mwanafunz pia ila day school) ambae ktokana na uzuri wake na hali ya kwao nkaona vile ananpenda ni upendo wa hali ya juu sana & aliiteka sana akili yangu. Kuna sku aliniganda nkale mbususu overnight, wazazi hawapo, kwakua akili zangu tayar zlikua zimeshikiliwa na dem, akisema chochote naona ni sahihi nlisubir mida ya sanne usiki mwamba nkatinga. Kilchotokea nlijilaum sana.

Nlikamatwa kizembe sana nkafkuzwa shule, nashkuru mungu nlikua nmesajiriwa tayar so nlirudi kufanya NECTA. Nlishuhudia marafiki zangu wawili wakilia machozi na kunilaumu kwanini wakati naondoka sikuwashirikisha, walinilaumu sana na kniambia pengine ningewashrikisha wangenishauri nsiende huko. Iliniuma sana, mda huo akili yangu imeanza krudi nshaanza kmuona yule demu kama shetani aliekuja kvuruga maisha yangu.

Ushauri.
Kama mwanaume kua imara kulinda familia yako na Njia zako na kusimamia maamuzi yako. Akitokea mtu akayumbisha chochote cha kwako, be it family or whatever, wewe ndio unaonekana dhaifu.
Huyo demu hata awe mkali vipi, mwisho wa siku utaonekana mjinga na dhaifu sana kwa kuivuruga ndoa yako, lakini hamna mtu atakusifia umepata demu mkali., na akili yako ya siku zote ikirudi utajilaumu sana.

Narudia tena, kama mwanaume, linda Familia yako, Linda njia zako. Hakikisha mtu haati nafasi ya kukuvurugia chochote kilicho chako, wala hakuchafui. Haya mengine ni ya kupita tu. Ila ukiendekeza tamaa utakula jeuri yako.
 
Hili jamaa lishawaza ngono tayari! Wewe kukuambia mkutane tu tayari ushajua unaenda kutongozwa?

Eti unajuta kuoa mapema, aisee unasikitisha sana! Mpende mkeo acha uasherati ndugu.
 
Najua tunataka husband material, ila hawa mafurushi ndio wako[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
 
Hamnaga demu wa kishua anaeishiwa mafuta kwenye gari we boya!

Taa ikiwaka tu ngoma inaingia TOTAL inapigwa wese mpaka mshale unagota kwenye Mswaki au Fadhili (F)! Demu anatembelea gari ambayo inawaka taa mpaka inazima unamuona wa kishua?
 
Buheri mazee

Ebhana majuzi kati hapa nilikua napita zangu kandokando ya barabara kwambali nikaona gari imesimama nilivyoikaribia na kuanza kuipita ghafla ilitoka pisi kali Sana ikaniita"samahani kaka" nikasema bila samahani, Gari yangu imeisha mafuta na cjatembea na akiba hivi shell Iko wapi maeneo haya nikasema kama unadumu nipe
Mhhh "akawasha gari akaniteleza....... ".

Gahawa.
 
Back
Top Bottom