Binti wa kishua kanipenda ila nina mke na mtoto

Binti wa kishua kanipenda ila nina mke na mtoto

Buheri mazee

Ebhana majuzi kati hapa nilikua napita zangu kandokando ya barabara kwambali nikaona gari imesimama nilivyoikaribia na kuanza kuipita ghafla ilitoka pisi kali Sana ikaniita"samahani kaka" nikasema bila samahani, Gari yangu imeisha mafuta na cjatembea na akiba hivi shell Iko wapi maeneo haya nikasema kama unadumu nipe nikakuchukulie ingawa Iko mbali kidogo akasema Sina, nikamwambia nipe hela nitajua huko huko Cha kufanya
Sikia mwambie ukweli kuwa una mke,kama vile ulivyomfanyia kweli kwa kumletea mafuta na hukula hela zake
 
Buheri mazee

Ebhana majuzi kati hapa nilikua napita zangu kandokando ya barabara kwambali nikaona gari imesimama nilivyoikaribia na kuanza kuipita ghafla ilitoka pisi kali Sana ikaniita"samahani kaka" nikasema bila samahani, Gari yangu imeisha mafuta na cjatembea na akiba hivi shell Iko wapi maeneo
Kama yupo humu ndio ushakosa tunda tena kama fikra zako zinavyokutuma....

Wenzio wanamaliza kabisa kazi halafu shuhuda inafuata.......umri wako tafadhali
 
Aliyekuambia anakutaka nani?[emoji23][emoji23]

How old are u?[emoji706][emoji706][emoji706]

Binafsi napenda watu waaminifu hasa kwenye michongo. Maybe ana mchongo anataka akupe? Usipende kujipa sana umuhimu aisee

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Ila jamani hebu wanaume kaeni na hawa wavulana muwape Elimu ya uanaume kamili. Kadiri siku zinavyoenda ndo wavulana wanazidi kuwa wengi. Yaani wanapenda kitonga balaa. Yaan vijana wa kiume wanadanga kupita maelezo. Sasa kuna raha gani hapo ya uanaume.

Anyways, kuwa honest ndo kila kitu.... ndo maana wengi hawapigi hatua..kuwa mkweli kama mtu ana malengo ya kukusaidia atakusaidia. Mapenzi siku zote mwisho wake ni mbaya hasa uongo ukitamalaki

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Sema ukweli unaofanana sasa wewe umemkuta barabarani umejuaje kama kwao wana mawe anyway nitumie namba zake ili nikuwekee mambo sawa
 
Buheri mazee

Ebhana majuzi kati hapa nilikua napita zangu kandokando ya barabara kwambali nikaona gari imesimama nilivyoikaribia na kuanza kuipita ghafla ilitoka pisi kali Sana ikaniita"samahani kaka" nikasema bila samahani, Gari yangu imeisha mafuta na cjatembea na akiba hivi shell Iko wapi maeneo haya nikasema kama unadumu nipe nikakuchukulie ingawa Iko mbali kidogo akasema Sina, nikamwambia nipe hela nitajua huko huko Cha kufanya ingawa alionekana kusita ila alinipa kiasi Cha elfu 20 nikaenda fasta pale shell nikajaribu kuongea na mlinzi wa pale shell anisaidie kidumu bahati nzuri akanipatia kidumu Cha ltr5 nikampoza buku2000 Kisha nikaenda kupimiwa mafuta.

Nikachukua bodaboda ili aniwaihishe fasta tulipofika pale alipo yule binti alivyoniona tuu alitoa tabasamu murua na kusema nilidhani utaingia mitini si unajua Imani imekwisha sikuizi, nikasema hata kama ningekimbia na elfu 20 yako isingefanya niwe bakheresa shida zingebaki pale pale tuu, akasema nikweli ila nivijana wachache Sana wenye mawazo kama yako.

Basi akaweka Yale mafuta hatimae akawasha kitu kikakubari akanishukuru pia akanipa albino mmoja aisee kwakua nilikuwa nimepigika kutwa nzima nilishukuru Sana kwani nilipata pakuanzia kwa mama watoto, basi akaniomba na namba za simu nilisita kumpa ila ikanilazimu tubadirishane namba.

Zikapita Kama siku mbili akanipigia tukaongea mengi Sana ila kubwa alinisifia Sana kwa ukarimu na uaminifu wangu kisha akaniomba nitenge siku tukutane ili tufahamiane zaidi.

Sasa wakuu Mimi Nina mke na huyu manzi kaonyesha kunielewa na ukicheki kwao Wana mawe daah najuta kuoa mapema asa sijui nifanyeje ili ala ikae panga mbili na sijamwambia kuwa Nina mke namtoto.
Wewe jamaa siyo Mwanaume wa shoka, Yaani kuambiwa utenge siku moja mkutane umefurahi hivi na unasema amekuelewa,akikupa kabisa si utachanganyikiwa??.
 
Back
Top Bottom