Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila dalili niliziona tangu siku ile mkuu anyway nitafuata ushauri wako mkuu ahsanteUsihusishe umasikin wako na mapenz directly kwenye kila kitu, kakuomba utenge siku mje mfahamiane vizuri hiyo siku ww mwambie ukwel wa life lako kuwa umeoa na una familia(hapa sifia zaidi kuwa na familia, elezea ni kwajinsi gan unafurahia kuona familia yako ikiwa inafuraha, na kwajins gan unajitaid kuilinda furaha ya familia yako ), hii itamfanya aone ww kwel ni mwanaume na sio mvulana, atajua ni kwajins gan unathamini watu wako na kuwalinda.
Faida ya kumweleza hiv ni kuwa atakuona ww ni mwaminifu zaid ya alivyo fikria, unathamin watu zaid ya alivyo fikria, utampa moyo wa kukusaidia( kukuconnect na watu watakao kusaidia kwenye shughuri zako au yy mwenyewe kusupport shughuri zako). Hayo ya kukupenda wewe yaondoe akilin mwako kwanza
Mulemule mkuuAmepata zali la mentali[emoji16]
Ushauri mzuri sana huu brother, sisi vijana tunavimambo fulani vinavyotushusha sana.Usihusishe umasikin wako na mapenz directly kwenye kila kitu, kakuomba utenge siku mje mfahamiane vizuri hiyo siku ww mwambie ukwel wa life lako kuwa umeoa na una familia(hapa sifia zaidi kuwa na familia, elezea ni kwajinsi gan unafurahia kuona familia yako ikiwa inafuraha, na kwajins gan unajitaid kuilinda furaha ya familia yako ), hii itamfanya aone ww kwel ni mwanaume na sio mvulana, atajua ni kwajins gan unathamini watu wako na kuwalinda.
Faida ya kumweleza hiv ni kuwa atakuona ww ni mwaminifu zaid ya alivyo fikria, unathamin watu zaid ya alivyo fikria, utampa moyo wa kukusaidia( kukuconnect na watu watakao kusaidia kwenye shughuri zako au yy mwenyewe kusupport shughuri zako). Hayo ya kukupenda wewe yaondoe akilin mwako kwanza
Nashukuru mkuu kwa mchango wakoBro, siku zote mwanamke hana huruma na maisha yako, na pengine labda ni kwasababu hua hawaoni kama kuna hatari yoyote mbeke ya safari au they dont care ata all.
Kwaio ukiruhusu mwanamke akushikie akili zako atazishika kwelikweli na atazitumia effectively.
Mkuu kwa umri nilikuwa nao najua anachomaanisha na jana nimetoka kuongea naye akinisisitiza ile ahadi yetu ndani ya weekend hiiHili jamaa lishawaza ngono tayari! Wewe kukuambia mkutane tu tayari ushajua unaenda kutongozwa?
Eti unajuta kuoa mapema, aisee unasikitisha sana! Mpende mkeo acha uasherati ndugu.
Aaah upele humuota asiye nakucha siyo?Et najiraumu kuwahi kuoa!!!!!!, duuuuh
Ungekua hujaoa wala usinge kutana na hyo manzeeee,
NB:acha mawazo ya hovyo
Acha tuonePengine anaweza kukupa kazi.
Me bado kijana kiongoziHata mimi nakazia hapo maana inaonekata hiki kizee hakina akili
Mkuu acha zarau au kwakuwa kwenye ukoo wetu hakuna aliyewahi miliki gari ndiyo useme hivyoHii kama chai, umeenda nunua sheli mafuta hata hajakwambia mafuta gani? Ungeleta mafuta ya taa?[emoji28]
Mrejesho vp umeonana naeHajui kama nimeoa nahisi akijua huenda nikamkosa
Mkuu wengi huweka mafuta kwenye Buti la gari Kule nyumaUmeoana; eti "akaniambia leo sikutembea na akiba" hivi kumbe watu wanatembea na mafuta ya akiba wakati tenki ni empti!
Hii chai haina hata sukari
Mkuu elewa hivyo ndiyo ilishatokeaHamnaga demu wa kishua anaeishiwa mafuta kwenye gari we boya!
Taa ikiwaka tu ngoma inaingia TOTAL inapigwa wese mpaka mshale unagota kwenye Mswaki au Fadhili (F)! Demu anatembelea gari ambayo inawaka taa mpaka inazima unamuona wa kishua?
Jpili hiyoUkiongea naye ulete mrejesho hapa.
NakaziaSikia man Hacha mawazo hasa nenda uongee naye msikilize mfanye awe mtu wako(rafiki) connection na mchongo ya pesa uanzia kwa watu hujui huyo dada ni nani huenda anaweza kukusaidia kupata connection/kazi nzuri.
Kuhusu mapenzi msikilizie akimwaga mtama wewe mchana umeoa kama atataka zaidi ya hapo fresh tu Kuona siyo sababu ya kushindwa kupiga away games za dharura[emoji23]muhimu Check agya
Mimi niliyekuwa naye siku ile niliona hizo daliliMbona cjaona sehemu Kama anakupenda
Sawa mkuu kama huaminiHuu ni uzi wa kutunga