Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilabobni mda unakuwa lijinga sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,afanyeje eti...............Nakushauri telekeza familia☹☹
Ushauri unatolewa kulingana na ujinga/unyeti wa tatizo.Ilabobni mda unakuwa lijinga sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,afanyeje eti...............
Hata mimi kuna kipindi nilijuta kuoa mapema.Eti najuta kuoa mapema..aisee
[emoji23][emoji23][emoji23]Nakushauri telekeza familia[emoji852][emoji852]
Nn kilikukuta mzee ili na ss tujifunze
Mbona cjaona sehemu Kama anakupendaBuheri mazee
Ebhana majuzi kati hapa nilikua napita zangu kandokando ya barabara kwambali nikaona gari imesimama nilivyoikaribia na kuanza kuipita ghafla ilitoka pisi kali Sana ikaniita"samahani kaka" nikasema bila samahani, Gari yangu imeisha mafuta na cjatembea na akiba hivi shell Iko wapi maeneo haya nikasema kama unadumu
Vijana wa zamani hawa kupata nafasi ya kukutana na madem wenye hela, madem wa zaman walikuwa hawana hela, ambao Leo ndiyo wazaz wetu Mama zetu.Kuna hii kauli huwa siiskii ikisound vizuri katika akili yangu.
1)Vijana wa siku hizi (kwani kuna tabia gani mpya vijana wa zamani hawajawahi kuwa nayo?)
Una umri gani?
Nalo ni wazo konko...💪🏽👊🏽👍🏽😂🤣Mkuu we dini gani?
Vuta mke wa 2 bhana