Binti wa kishua kanipenda ila nina mke na mtoto

Hamnaga demu wa kishua anaeishiwa mafuta kwenye gari we boya!

Taa ikiwaka tu ngoma inaingia TOTAL inapigwa wese mpaka mshale unagota kwenye Mswaki au Fadhili (F)! Demu anatembelea gari ambayo inawaka taa mpaka inazima unamuona wa kishua?
🤣🤣🤣🤣

Embu vaa viatu vya mtoto wake halafu ndo umekutana na uzi wa mshua.....
 
Kweli mkuu sitanii labda kama aliamua kunisumbua ili iwe hivi
 
Ur not worth to be called a husband ... https://jamii.app/JFUserGuide ... Acha ujinga shenzy ... Wanaume tunapungua kwa kasi ya ajabu sana ..acheni kupenda mtelezo ... Mfanye mkeo awe hivyo mambo safi ..daaah ... By now even if I will die na kumuacha wife ... ana kila kitu ni yeye kuniheshimisha ama kunidharaulisha ... Mwanaume pambana kenge wewe usipende mteremko ...
 
Mmh sawa ingawa umeanza kwa kunikejeri
 
Kipange kwenda kulisha nguruwe. Na kuku wa mayai bagamoyo. Uaminifu wako hutaiba mayai
 
Sema ukweli unaofanana sasa wewe umemkuta barabarani umejuaje kama kwao wana mawe anyway nitumie namba zake ili nikuwekee mambo sawa
Ukisikia mamba kaingia mkenge ndiyo huku mkuu bahati ya mwenzako usiilalie mlango wazi
 
Ahsante mkuu
 
Sasa Mkeo yeye anamuhusu nini...?? KWANI UNATAKA KUMUOA HUYO DEMU MPYA.

Acha uboyaa kulaa pitaa hivii
[emoji16][emoji16][emoji16] Nilijua tuu hukosi anga hizi na sipati picha unavyoimezea mate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…