Binti wa kishua kanipenda ila nina mke na mtoto

Binti wa kishua kanipenda ila nina mke na mtoto

Kwahiyo wewe ukichepuka ni umemuacha mkeo sio?
Naanzaje kumchepuka mke wangu kwa mfano?. Msipende kuchukulia mambo mazito kiwepesi wepesi tu. Yaani mtu amwache mkewe ndani kisha amchepuke nje huko halafu eti umfariji kwamba mtu huyu bado yupo na mkewe. Hakuna ndoa tena hapo rafiki. Aliyechepuka kashajitenga na mwenza wake. Kama unaijua thamani ya ndoa kadiri Mungu alivyokusudia basi utanielewa ninachomaanisha vinginevyo huwezi kunielewa kamwe.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Hamnaga demu wa kishua anaeishiwa mafuta kwenye gari we boya!

Taa ikiwaka tu ngoma inaingia TOTAL inapigwa wese mpaka mshale unagota kwenye Mswaki au Fadhili (F)! Demu anatembelea gari ambayo inawaka taa mpaka inazima unamuona wa kishua?
Kwaiyo,
Jamaa kapigwa[emoji12][emoji23]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Umejuaje kama kwao wana mawe kwa kukutana barabarani...

Alafu watu wenye mawe hua hawatembei na mafuta ya vidumu mpaka gari ziwazimikie...
 
Naanzaje kumchepuka mke wangu kwa mfano?. Msipende kuchukulia mambo mazito kiwepesi wepesi tu. Yaani mtu amwache mkewe ndani kisha amchepuke nje huko halafu eti umfariji kwamba mtu huyu bado yupo na mkewe. Hakuna ndoa tena hapo rafiki. Aliyechepuka kashajitenga na mwenza wake. Kama unaijua thamani ya ndoa kadiri Mungu alivyokusudia basi utanielewa ninachomaanisha vinginevyo huwezi kunielewa kamwe.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Una umri gani?
 
Back
Top Bottom