Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahah umelenga mule mule!nazani ulivyo fundishwa biashara ni kuuza Magari. vipi angefungua Yard ya kuuza Magari pia ungeongea hivi?
Yeye kaona furusa na bishara bi Biashara hata kama ni ya kuuza paka. kikubwa kuna profiti.
nyie ndo mmemezeswa kwamba biashara ni kuuza Magari na kufungua maduka ya nguo hizo ndo biashara mnazo zijua
Sent using Jamii Forums mobile app