Kuwaelewa wachungaji wa Africa kazi sanaHuyu si ndo anaefufua watu hadharani?
Pacha wake na Tapeli Askofu Rashid alieshindwa kumfufua Bosi wake JiweHuyu si ndo anaefufua watu hadharani?
Subiri wenyewe wanakuja ... Au wanasoma kimya kimya kama Askofu Rashidi 🤔Huyu si ndo anaefufua watu hadharani?
Anafufua ambao hawajafa kabisa.Huyu si ndo anaefufua watu hadharani?
Huyu binti kwenye birthday yake mwaka juzi alinunuliwa gari ya kifahari mno...Binti huyo aitwae Israella (8) alifariki siku ya jumatatu tar 29/3 nchini Kenya alipokua anapatiwa matibabu kutokana na matatizo ya mapafu. Hata hivyo, familia imelalamikia kitendo cha serikali ya Malawi kuizuia kuruka ndege binafsi iliyokua unamuwahisha mtoto huyo hospitali na hivyo kusababisha mtoto huyo kuchelewa kupata matibabu, kitendo ambacho madaktari wanasema kinawezekana kuwa kimesababisha kifo chake. RIP.
Source BBC
View attachment 1740432View attachment 1740435
Huyu si ndo anaefufua watu hadharani?
Hawa ndio wana take advantage ya ujinga wa waumini wao and make money out of them!!! He is a wanted man in South Africa. Ana wafuasi wengi tu hata Tanzania!!! Wanawake wanampenda sana!!! Wadangaji wengi ni wafuasi wa nabii huyu kijana.
Hata baadhi ya mitume walifufua watu, lakini nao walikuja kufa... Sio issue mpya na wala haimfanyi mtu asiwe mtumishi wa Mungu. Simtetei Bushiri kama ni mtumishi wa Mungu au la, anayejua ni yule anayedai anamtumikia.Huyu si ndo anaefufua watu hadharani?
Maserati ni gari ghali duniani ambazo zinatumia nembo maalum ya TST (The Satanic Temple).. Yaani hekalu la shetani.. Ili kuficha ukweli huu nembo imewekwa kibiashara zaidi lakini unapofika kwenye masinagogi yao kila kitu kiko waziKafara
Jizi kubwa na linaanza kuaibikaBinti huyo aitwae Israella (8) alifariki siku ya jumatatu tar 29/3 nchini Kenya alipokua anapatiwa matibabu kutokana na matatizo ya mapafu. Hata hivyo, familia imelalamikia kitendo cha serikali ya Malawi kuizuia kuruka ndege binafsi iliyokua unamuwahisha mtoto huyo hospitali na hivyo kusababisha mtoto huyo kuchelewa kupata matibabu, kitendo ambacho madaktari wanasema kinawezekana kuwa kimesababisha kifo chake. RIP.
Source BBC
View attachment 1740432View attachment 1740435
Na ndio maisha yalivyo [emoji3][emoji3]Mkuu huzuiwi ku take advantage wa ujinja wanaokuzunguka. Na wewe tumia fursa kama ipo...
Hivi Huyu jamaa kesi yake inaendeleaje Huko SA??Huyu si ndo anaefufua watu hadharani?
Huenda ni Kwa vile Mganga hajigangi.Huyu si ndo anaefufua watu hadharani?