Binti wa Nabii milionea wa Malawi Shepherd Bushiri, Israella Bushiri, kuzikwa leo 01 April 2021

Binti wa Nabii milionea wa Malawi Shepherd Bushiri, Israella Bushiri, kuzikwa leo 01 April 2021

Hujajibu swali langu mkuu..pesa inapatikanaje?
Yani ukishaingia huko na ukakidhi masharti yao baadaye unaambiwa kaanzishe kitu chochote kama kibiashara ,kanisa au chochote atashangaa mafanikio yake yanakuw sio ya nchi hii
 
Hawa ndio wana take advantage ya ujinga wa waumini wao and make money out of them!!! He is a wanted man in South Africa. Ana wafuasi wengi tu hata Tanzania!!! Wanawake wanampenda sana!!! Wadangaji wengi ni wafuasi wa nabii huyu kijana.
Iko hivi,hapa hakuna maswala ya advantage ya ujinga kama unavyosema,ukiwa mfano,Mkatoliki,Mluteri,Muanglikana n.k au dhehebu ambalo liko chini ya Taasisi moja kama hayo,sadaka,shukurani,zaka n.k vyote vinaingia kwenya account ya hiyo Taasisi,sasa kinachotokea kwa hawa wengine ni kuwa kanisa alielianzisha ni yeye,na pesa yote inaingia kwenye account yake,kwanini tu asiwe millionaire? kwahiyo sio swala la utapeli,unatoa pesa mwenyewe kwa hiari yako,kadri imani yako inavyokutuma,hakuna anaelazimishwa wala kutumika uganga wa kienyeji hapo...
 
Hawa ndio wana take advantage ya ujinga wa waumini wao and make money out of them!!! He is a wanted man in South Africa. Ana wafuasi wengi tu hata Tanzania!!! Wanawake wanampenda sana!!! Wadangaji wengi ni wafuasi wa nabii huyu kijana.
kweli kbsa
 
Iko hivi mkuu mimi ni Mkristo, Biblia imetuagiza tuishi maisha yaliyo safi, lakini vilevile tumeagizwa kumtolea Mungu fungu la kumi,sadaka, shukurani, kuwasaidia wajane,yatima na wasiojiweza.Sasa km unapata pesa halafu hutoi sadaka hapo unakuwa umefungua mlango wa shetani kukuibia pesa yako.

Sasa Shetani anaibaje pesa? Ni hivi:-

1.Kwanza,Anakuletea matatizo yanayohitaji matumizi ya pesa km magonjwa,kesi,na matatizo mengine ya kifamilia ili tu utumie pesa na kwa mazingira ya kichawi hiyo pesa huenda kwao.

2.Pili Kumpa mtu mawazo ya kutumia pesa ovyoovyo kwa starehe mfano kubeti( kamali),Ulevi,Kupenda wanawake, na starehe zote zinazotumia pesa.

Elewa kwamba shetani hufanya kazi na fikra au mawazo yetu.Hivyo yeye hutuma pigo(Astral or psychic attack) ambayo huja kuamuru mtu afanye tendo fulani ili kutokana na hilo tendo basi kutokee hasara fulani.Halafu ukishaharibikiwa ndo unarudishiwa ufahamu na akili yako ya kawaida. Hapo ndipo majuto hufuata.

3.Kufanya matumizi yasiyo ya msingi.Unaweza pata pesa halafu ghafla ukasahau kufanya mambo ya msingi uliyokuwa umepanga na kujikuta unanunua visivyo na maana,kufumba na kufumbua pesa yote imeisha.

4.Kupoteza pesa.Unaweza shangaa ghafla pesa huzioni na hujui umepotezaje

5.Pia kupitia kuzulimiwa na watu. Unaweza kuta pesa nyingi unayopata unaishia kudhulumiwa na watu.
Hivyo pesa hii inayopotea kwasababu tajwa hapo juu huenda kimiujiza katika mabenki ya kuzimu na Shetani kuzigawa tena kwa watu wanaokuwa tayari kutimiza masharti. Mwisho wa siku humuacha mtu akiwa bila pesa,au akiwa na pesa kidogo isiyokidhi mahitaji yake ya msingi.

Njia pekee ya kumzuia Shetani asiibe pesa yako ni kutoa sadaka km Mungu alivyoagiza na pindi shetani akijaribu kuiba pesa yako anakutana na ulinzi wa Mungu.Maana katika Biblia Mungu kaagiza kuwa tukimtolea sadaka atalinda afya zetu,mali,zetu, watoto na hata wajakazi wetu dhidi ya yule mwovu( Ibirisi).

Bado una swali?
Bado umefungwa ndugu
Baada ya ufufuo wa Yesu imebaki sadaka moja tu nayo kuipeleka injili

Fungu la kumi halipo
 
Iko hivi,hapa hakuna maswala ya advantage ya ujinga kama unavyosema,ukiwa mfano,Mkatoliki,Mluteri,Muanglikana n.k au dhehebu ambalo liko chini ya Taasisi moja kama hayo,sadaka,shukurani,zaka n.k vyote vinaingia kwenya account ya hiyo Taasisi,sasa kinachotokea kwa hawa wengine ni kuwa kanisa alielianzisha ni yeye,na pesa yote inaingia kwenye account yake,kwanini tu asiwe millionaire? kwahiyo sio swala la utapeli,unatoa pesa mwenyewe kwa hiari yako,kadri imani yako inavyokutuma,hakuna anaelazimishwa wala kutumika uganga wa kienyeji hapo...
Mkuu naona Bulesi uliyemquote hujampinga, zaidi umejazia tu nyama kwenye hoja yake.
 
Huyu atawamaliza wote...

Jamani usiombe kuwa na ndugu mtoa kafara[emoji24][emoji24]

Niulizeni mimi

Btw mkishamgundua inabidi mmalize yeye kabla hajawaua wote, na mazoea ya kula vitu vyake uache, sijui kumtembelea umeishaa[emoji848]
Pole yako hao watu hawana huruma hawajui unategemewa na watoto mda mwingne wazazi, bora mlimueliminate kwa usalama wenu
 
Back
Top Bottom