Yani kaenda kwenye galery fasta , kabofya halafu anasema kampiga picha mtoto [emoji23]. Na waumini wake wanashangilia mpaka wanalia [emoji3]. Kwa huu upotoshaji mbingu ataisikia tu asipotubu na kubadilika. Katapeli watu wazi wazi aisee. Yani huyu na yule Alph Lukau huhitaji darubini kujua kuwa ni manabii wa uongo. Alph Lukau alifufua mtu na marehemu alipofufuka aligonga menu ibadani akiwa humo humo kanisani [emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]. Mbinguni mbali jamani, tukaze mwendo ili tufike [emoji2210] [emoji2210]