Binti wa Nabii milionea wa Malawi Shepherd Bushiri, Israella Bushiri, kuzikwa leo 01 April 2021

Binti wa Nabii milionea wa Malawi Shepherd Bushiri, Israella Bushiri, kuzikwa leo 01 April 2021

Jana ofisini nimesema jamaa katoa kafara binti yake asee nililetewa mtiti na boss ( mwanamke) mpaka nikaomba msamaha[emoji16][emoji16]

Mpaka niliambiwa eti tayari nimeshatupiwa laana[emoji848]

NB

Sitaki tena mazoea na walokole, nahisi vichwa vyao vimejaa maruweruwe

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mi huwa nikisikia mlokole sitaki mazoea nae
Nakaa nao mbali
Ofisini tuna kundi la waumini wa clear malisa yani wamedata wale watu huwa nawatazama mambo yao nasema hiiii in magus voice
Kwanza wanatuona sisi ambao hatusali nao kama mapepo wadhambi sana aisee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mi huwa nikisikia mlokole sitaki mazoea nae
Nakaa nao mbali
Ofisini tuna kundi la waumini wa clear malisa yani wamedata wale watu huwa nawatazama mambo yao nasema hiiii in magus voice
Kwanza wanatuona sisi ambao hatusali nao kama mapepo wadhambi sana aisee
Ha ha ha wanatuona sisi wadhambi!

Na huu ndo uhalisia asee kujiona special society while in reality wana majanga balaa[emoji848]
 
Kabisa mkuu.Ila jamaa hata miujiza yake haihitaji akili nyingi kujua km ni tapeli au laana. Kuna muujiza ule anajifanya anatembea hewani yani uongo live kabsa. Upo muujiza mwingine anatumia kemikali ya Permanganate, Glycerin na maji kutengeneza moto aafu anawaambia waumini eti ni moto wa roho mtakatifu kutoka mbinguni.Video ipo Youtube search "Fire from Heaven" [emoji38][emoji28][emoji38][emoji28]

[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna ile nyingine alijifanya Mungu kamtumia picha ya mtu aliekuwa anamtolea utabiri,picha ya kwanza alionyesha fresh Picha ya pili si ikabidi aswipe ili ije ndio kimbembe
Hio ya moto na kutembea hewani zote fake
Kumbe na wewe huwa unafatilia jinsi anavyo jiaibisha

Kuna jamaa anaitwa Jay Israël anaelezea mambo mengi ya hawa manabii feki since alifanya nao kazi I wish hawa walokole wangepata nafasi ya kumsikiliza
Too bad wapo kwenye mtego hawawezi kuelewa Kwa sasa
 
Maserati ni gari ghali duniani ambazo zinatumia nembo maalum ya TST (The Satanic Temple).. Yaani hekalu la shetani.. Ili kuficha ukweli huu nembo imewekwa kibiashara zaidi lakini unapofika kwenye masinagogi yao kila kitu kiko wazi
Mojawapo ya kuwa mwanachama hai wa TST ni utayari wa kutoa kafara la damu kwa uzao wako
Na hili hujulishwa mapema kabisa ili kulinda nguvu, umaarufu na utajiri wako.. Na huyo mpendwa wako, ili kuonesha kuwa ndio utamtoa sadaka basi utampa chochote cha gharama chenye chata la TST
Bushiri mwaka 2017 alimnunulia mwendazake kwenye birthday ya kutimiza miaka 6 gari la Maserati lenye thamani ya kama 1.2BILLION
Kwa kawaida mtu unayemuandaa kwa kafara unatakiwa kumpa bata la kufa mtu wakati wa uhai wake kwakuwa hataishi kuona uzee wake
Je hili la Bushiri ni kafara la sadaka kwa TST?View attachment 1740847View attachment 1740848View attachment 1740849
Kumbeee
 
Huwa wanaiba kuna mganga alikuwa rafiki yangu walipanga wakaibe bank kwa uchawi, walipambana haswa na nguvu ya kule walifanikiwa kupata laki moja tu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah
 
Jana ofisini nimesema jamaa katoa kafara binti yake asee nililetewa mtiti na boss ( mwanamke) mpaka nikaomba msamaha[emoji16][emoji16]

Mpaka niliambiwa eti tayari nimeshatupiwa laana[emoji848]

NB

Sitaki tena mazoea na walokole, nahisi vichwa vyao vimejaa maruweruwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sina mbavu lol
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mi huwa nikisikia mlokole sitaki mazoea nae
Nakaa nao mbali
Ofisini tuna kundi la waumini wa clear malisa yani wamedata wale watu huwa nawatazama mambo yao nasema hiiii in magus voice
Kwanza wanatuona sisi ambao hatusali nao kama mapepo wadhambi sana aisee
Walokole wajinga ni wale hawasomi neno la Mungu na biblia na wao hupenda miujiza na kuzunguka kwa manabii uchwara, kutwa kuombea wengine mabaya waharibikiwe, dah ofisini nikikumbuka nilivochongewa na mlokole jina Sina hamu
 
Haya mambo yana kilele.. Ukishafika kileleni huwezi kwenda mbele zaidi... Kifuatacho ni anguko kuu...!!!
Inapofikia hatua ya kutoa kafara damu yako maana ulishamaliza makafara mengine yote, ya wanyama, ya ngono, ya binadamu wengine... Sasa hilo ndio silaha ya mwisho kama mama yake alishakufa lakini... Kama bado yuko hai... Ajiandae
Huyu bushiri alikuwa kinara wa makafara ya ngono alikuwa anabadilisha warembo ka nguo ikiwemo na Hilo kanisa lake la Tanzania, na wadada walikuwa wanamkimbilia mno
 
Back
Top Bottom