Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Prophet Bushiri Buys 4-Year-Old Daughter a U.S.$414,000 Maserati
Hiki kifo Bushiri anaweza kutuhumiwa kafaraView attachment 1740838
Jana ofisini nimesema jamaa katoa kafara binti yake asee nililetewa mtiti na boss ( mwanamke) mpaka nikaomba msamaha[emoji16][emoji16]
Mpaka niliambiwa eti tayari nimeshatupiwa laana[emoji848]
NB
Sitaki tena mazoea na walokole, nahisi vichwa vyao vimejaa maruweru
Inaweza kuwa hivyo. Ana watoto wengine?Prophet Bushiri Buys 4-Year-Old Daughter a U.S.$414,000 Maserati
Hiki kifo Bushiri anaweza kutuhumiwa kafaraView attachment 1740838
Jana ofisini nimesema jamaa katoa kafara binti yake asee nililetewa mtiti na boss ( mwanamke) mpaka nikaomba msamaha[emoji16][emoji16]
Mpaka niliambiwa eti tayari nimeshatupiwa laana[emoji848]
NB
Sitaki tena mazoea na walokole, nahisi vichwa vyao vimejaa maruweruwe
Magari yenyewe yote yaliuzwa yalikuwa kama 15 hiviHuyu binti kwenye birthday yake mwaka juzi alinunuliwa gari ya kifahari mno...
Prophet Bushiri Buys 4-Year-Old Daughter a U.S.$414,000 Maserati
Hiki kifo Bushiri anaweza kutuhumiwa kafaraView attachment 1740838
Alifilisiwa kwa kuuziwa magari yake yote akakimbilia kwaoHivi Huyu jamaa kesi yake inaendeleaje Huko SA??
Sina hakika..Inaweza kuwa hivyo. Ana watoto wengine?
We mlokole acha wenge[emoji1787][emoji1787][emoji16]Na mkome kuongea ongea vitu vya kudhania tu [emoji23]
Kwahiyo nikusaidieje sasaKwa watu wenye chembe chembe za uchawi uchawi kama wewe hatushangai ukisema ni kafara
Na ukumbuke anafufua[emoji16][emoji16]mtoto wa nabii anakufa tena kwa ugonjwa? kweli wajinga ndio waliwao...
Kabaki mmoja but kwenye ndoa, ila nje kama kawaInaweza kuwa hivyo. Ana watoto wengine?
Yaan yule mama alikuwa anaongea mpaka mimate inamtoka...duh nikaomba msamaha yaishe!Wengi wao wagonjwa wa akili
Wale wale. Hana tofauti na Askofu Mkuu Gwajima aka Oustaadh RashidHuyu si ndo anaefufua watu hadharani?
Mkuu hebu funguka hapaMagari yenyewe yote yaliuzwa yalikuwa kama 15 hivi
Unaambiwa ukitaja tu hivo utapigwa laana kaliBushiri kashamtoa kafra mtoto wake.
Lkn mali zake zingine si zipo?Alifilisiwa kwa kuuziwa magari yake yote akakimbilia kwao
Huyo nae aliebakia nae atamtoa kafara. Ndio yale yale mambo anahadithia LwandaMagereKabaki mmoja