Binti wa Nabii milionea wa Malawi Shepherd Bushiri, Israella Bushiri, kuzikwa leo 01 April 2021

Binti wa Nabii milionea wa Malawi Shepherd Bushiri, Israella Bushiri, kuzikwa leo 01 April 2021

Unaambiwa ukitaja tu hivo utapigwa laana kali

Mi ndo jana nimeambiwa hivo eti tayari nimeshapigwa laana[emoji16]

Ila walokole mmh

Hawa manabii wengi ni feki ,ebu angalia lusekelo (Mnywa gongo aka konyagi) , Gwajima(Mla kondoo) ,Mwingira (Mla wake za watu) ,Mwamposa (Mmachinga muuza maji,mafuta) etc
 
Maserati ni gari ghali duniani ambazo zinatumia nembo maalum ya TST (The Satanic Temple).. Yaani hekalu la shetani.. Ili kuficha ukweli huu nembo imewekwa kibiashara zaidi lakini unapofika kwenye masinagogi yao kila kitu kiko wazi
Mojawapo ya kuwa mwanachama hai wa TST ni utayari wa kutoa kafara la damu kwa uzao wako
Na hili hujulishwa mapema kabisa ili kulinda nguvu, umaarufu na utajiri wako.. Na huyo mpendwa wako, ili kuonesha kuwa ndio utamtoa sadaka basi utampa chochote cha gharama chenye chata la TST
Bushiri mwaka 2017 alimnunulia mwendazake kwenye birthday ya kutimiza miaka 6 gari la Maserati lenye thamani ya kama 1.2BILLION
Kwa kawaida mtu unayemuandaa kwa kafara unatakiwa kumpa bata la kufa mtu wakati wa uhai wake kwakuwa hataishi kuona uzee wake
Je hili la Bushiri ni kafara la sadaka kwa TST?View attachment 1740847View attachment 1740848View attachment 1740849
bendera ya israel inahiyo nyota
hiyo imekaaje mtumishi?
 
Hata baadhi ya mitume walifufua watu, lakini nao walikuja kufa... Sio issue mpya na wala haimfanyi mtu asiwe mtumishi wa Mungu. Simtetei Bushiri kama ni mtumishi wa Mungu au la, anayejua ni yule anayedai anamtumikia.
Mungu katupa vitabu vya kutusaidia kuwatambua manabii wakweli na waongo.Km ni msomaji na mwelewa mzuri wa Biblia utaujua utapeli wa Bushiri kupitia matendo yake kwa urahisi kabisa.

Mfano mdogo ni utapeli alioufanya S.Africa kwa waumini wake kupitia utapeli wa FOREX.Ana kesi nyingi za kuzulumu watu pesa, madini na uzalilishaji wa kingono,ndio maana amekimbilia kwao Malawi.
 
bendera ya israel inahiyo nyota
hiyo imekaaje mtumishi?
Ni vitu viwili tofauti
Bendera ya Israel pembe moja ndio imepoint juu kuonesha utukufu wa Mungu

Bendera ya shetani imepinduliwa na point mbili ndio ziko juu kuonesha ufalme wa shetani
downloadfile-5.jpg
 

Attachments

  • baphomet-flag-std.jpg
    baphomet-flag-std.jpg
    29 KB · Views: 4
  • 1200px-Flag_of_Israel.svg.jpg
    1200px-Flag_of_Israel.svg.jpg
    20.1 KB · Views: 4
  • 1200px-The_Satanic_Temple.svg.jpg
    1200px-The_Satanic_Temple.svg.jpg
    9.2 KB · Views: 4
  • 1200px-The_Satanic_Temple.svg.jpg
    1200px-The_Satanic_Temple.svg.jpg
    9.2 KB · Views: 3
Jana ofisini nimesema jamaa katoa kafara binti yake asee nililetewa mtiti na boss ( mwanamke) mpaka nikaomba msamaha[emoji16][emoji16]

Mpaka niliambiwa eti tayari nimeshatupiwa laana[emoji848]

NB

Sitaki tena mazoea na walokole, nahisi vichwa vyao vimejaa maruweruwe
Shida kuna watu wakiokoka wanajitoa ufahamu kabisa wa kuwahoji watu wanaojiita watumishi wa Mungu.Ndio maana jamaa wanatumia hiyo advantage kuwapiga kweli kweli! Matendo ya Bushiri yanaonyesha wazi kuwa ni tapeli mkubwa.
 
Alikuwa na kesi kwaiyo nadhani alishindwa kwaiyo nahis mamlaka ikaamua kuuza mali zake kufidia ila sina uhakika ila magari yalibebwa yote kitoka nyumbani kwake
Ok

Na alivyoflee to malawi na kule alidakwa akawekwa ndani badae akaachiwa!

Mali zake nyingi ziko confiscated kwa sababu ya money laundering na utapeli
 
Inaweza kuwa hivyo. Ana watoto wengine?
Kwa mke wake wa ndoa amebaki na mtoto mmoja wa kike,ila kuna allegations kuwa jamaa ana watoto nje zaidi ya 4 alizaa na waumini wake na alishapelekwa mahakamani kwa kudaiwa pesa za matunzo. Ingia Youtube channel ya Solomon's temple, search Other Bushiri's children.
 
Mungu katupa vitabu vya kutusaidia kuwatambua manabii wakweli na waongo.Km ni msomaji na mwelewa mzuri wa Biblia utaujua utapeli wa Bushiri kupitia matendo yake kwa urahisi kabisa.

Mfano mdogo ni utapeli alioufanya S.Africa kwa waumini wake kupitia utapeli wa FOREX.Ana kesi nyingi za kuzulumu watu pesa, madini na uzalilishaji wa kingono,ndio maana amekimbilia kwao Malawi.
Hivi hatakiwi tena kurudi SA?
 
Kwa mke wake wa ndoa kabaki na mtoto mmoja wa kike,japo inaelezwa ana watoto wengine nje kazaa na waumini wake.Jamaa muhuni muhuni sana.
Hii ya kuwala waumini ni mojawapo ya makafara ya kuvuta waumini wengi zaidi..manii ndio hutumika zaidi, sasa sometimes hujisahau kikaumana
 
Akimaliza huyo, atawatoa na wale wa mechi za nje maana anao kibao huko!

Kijamaa janja janja sana
Yuko kwenye agano la damu,hivyo mtoto yoyote atokanaye na damu yake,sio wake,ni wa hao waliompatia utajiri
 
Hivi hatakiwi tena kurudi SA?
Kesi inayoendelea sasa Malawi alikokimbilia ni kujadili ombi la Mahakama ya SA kutaka jamaa arudishwe ( Extradited) nchini S.Africa ili akakabiliwe na kesi za utapeli zinamuandama ikiwemo ya kutoroka baada ya kupewa dhamana.Ikumbukwe jamaa alikuwa tayari kawekwa lopango yeye na mke wake.

Lakini alipopewa dhamana kwa masharti ya kutosafiri nje ya mji wa Johannesburg,Jamaa aliweza kutorokea kwao Malawi kimafia bila ya pasipoti wala viza. Kwa hiyo Bushiri yupo kwenye wakati mgumu sana. Huyo Bushiri anayejiita nabii na mtumishi wa Mungu.
 
Back
Top Bottom