cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,756
- 5,250
Alikuwa na kesi kwaiyo nadhani alishindwa kwaiyo nahis mamlaka ikaamua kuuza mali zake kufidia ila sina uhakika ila magari yalibebwa yote kitoka nyumbani kwakeMkuu hebu funguka hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa na kesi kwaiyo nadhani alishindwa kwaiyo nahis mamlaka ikaamua kuuza mali zake kufidia ila sina uhakika ila magari yalibebwa yote kitoka nyumbani kwakeMkuu hebu funguka hapa
Unaambiwa ukitaja tu hivo utapigwa laana kali
Mi ndo jana nimeambiwa hivo eti tayari nimeshapigwa laana[emoji16]
Ila walokole mmh
bendera ya israel inahiyo nyotaMaserati ni gari ghali duniani ambazo zinatumia nembo maalum ya TST (The Satanic Temple).. Yaani hekalu la shetani.. Ili kuficha ukweli huu nembo imewekwa kibiashara zaidi lakini unapofika kwenye masinagogi yao kila kitu kiko wazi
Mojawapo ya kuwa mwanachama hai wa TST ni utayari wa kutoa kafara la damu kwa uzao wako
Na hili hujulishwa mapema kabisa ili kulinda nguvu, umaarufu na utajiri wako.. Na huyo mpendwa wako, ili kuonesha kuwa ndio utamtoa sadaka basi utampa chochote cha gharama chenye chata la TST
Bushiri mwaka 2017 alimnunulia mwendazake kwenye birthday ya kutimiza miaka 6 gari la Maserati lenye thamani ya kama 1.2BILLION
Kwa kawaida mtu unayemuandaa kwa kafara unatakiwa kumpa bata la kufa mtu wakati wa uhai wake kwakuwa hataishi kuona uzee wake
Je hili la Bushiri ni kafara la sadaka kwa TST?View attachment 1740847View attachment 1740848View attachment 1740849
Kesi ya madawa?Alifilisiwa kwa kuuziwa magari yake yote akakimbilia kwao
Am not sure check video hiyo repossession ya magari yakeLkn mali zake zingine si zipo?
Am not sure ila na mambo ya forex forex yalihusikaKesi ya madawa?
Mungu katupa vitabu vya kutusaidia kuwatambua manabii wakweli na waongo.Km ni msomaji na mwelewa mzuri wa Biblia utaujua utapeli wa Bushiri kupitia matendo yake kwa urahisi kabisa.Hata baadhi ya mitume walifufua watu, lakini nao walikuja kufa... Sio issue mpya na wala haimfanyi mtu asiwe mtumishi wa Mungu. Simtetei Bushiri kama ni mtumishi wa Mungu au la, anayejua ni yule anayedai anamtumikia.
Ni vitu viwili tofautibendera ya israel inahiyo nyota
hiyo imekaaje mtumishi?
Shida kuna watu wakiokoka wanajitoa ufahamu kabisa wa kuwahoji watu wanaojiita watumishi wa Mungu.Ndio maana jamaa wanatumia hiyo advantage kuwapiga kweli kweli! Matendo ya Bushiri yanaonyesha wazi kuwa ni tapeli mkubwa.Jana ofisini nimesema jamaa katoa kafara binti yake asee nililetewa mtiti na boss ( mwanamke) mpaka nikaomba msamaha[emoji16][emoji16]
Mpaka niliambiwa eti tayari nimeshatupiwa laana[emoji848]
NB
Sitaki tena mazoea na walokole, nahisi vichwa vyao vimejaa maruweruwe
Akimaliza huyo, atawatoa na wale wa mechi za nje maana anao kibao huko!Huyo nae aliebakia nae atamtoa kafara. Ndio yale yale mambo anahadithia LwandaMagere
OkAlikuwa na kesi kwaiyo nadhani alishindwa kwaiyo nahis mamlaka ikaamua kuuza mali zake kufidia ila sina uhakika ila magari yalibebwa yote kitoka nyumbani kwake
Ahaaaahaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]Hawa manabii wengi ni feki ,ebu angalia lusekelo (Mnywa gongo aka konyagi) , Gwajima(Mla kondoo) ,Mwingira (Mla wake za watu) ,Mwamposa (Mmachinga muuza maji,mafuta) etc
Kwa mke wake wa ndoa amebaki na mtoto mmoja wa kike,ila kuna allegations kuwa jamaa ana watoto nje zaidi ya 4 alizaa na waumini wake na alishapelekwa mahakamani kwa kudaiwa pesa za matunzo. Ingia Youtube channel ya Solomon's temple, search Other Bushiri's children.Inaweza kuwa hivyo. Ana watoto wengine?
Na kutakatisha pesaAm not sure ila na mambo ya forex forex yalihusika
Hivi hatakiwi tena kurudi SA?Mungu katupa vitabu vya kutusaidia kuwatambua manabii wakweli na waongo.Km ni msomaji na mwelewa mzuri wa Biblia utaujua utapeli wa Bushiri kupitia matendo yake kwa urahisi kabisa.
Mfano mdogo ni utapeli alioufanya S.Africa kwa waumini wake kupitia utapeli wa FOREX.Ana kesi nyingi za kuzulumu watu pesa, madini na uzalilishaji wa kingono,ndio maana amekimbilia kwao Malawi.
Kwa mke wake wa ndoa kabaki na mtoto mmoja wa kike,japo inaelezwa ana watoto wengine nje kazaa na waumini wake.Jamaa muhuni muhuni sana.Sina hakika..
Hii ya kuwala waumini ni mojawapo ya makafara ya kuvuta waumini wengi zaidi..manii ndio hutumika zaidi, sasa sometimes hujisahau kikaumanaKwa mke wake wa ndoa kabaki na mtoto mmoja wa kike,japo inaelezwa ana watoto wengine nje kazaa na waumini wake.Jamaa muhuni muhuni sana.
Yuko kwenye agano la damu,hivyo mtoto yoyote atokanaye na damu yake,sio wake,ni wa hao waliompatia utajiriAkimaliza huyo, atawatoa na wale wa mechi za nje maana anao kibao huko!
Kijamaa janja janja sana
Kesi inayoendelea sasa Malawi alikokimbilia ni kujadili ombi la Mahakama ya SA kutaka jamaa arudishwe ( Extradited) nchini S.Africa ili akakabiliwe na kesi za utapeli zinamuandama ikiwemo ya kutoroka baada ya kupewa dhamana.Ikumbukwe jamaa alikuwa tayari kawekwa lopango yeye na mke wake.Hivi hatakiwi tena kurudi SA?