Binti wa Nabii milionea wa Malawi Shepherd Bushiri, Israella Bushiri, kuzikwa leo 01 April 2021

Binti wa Nabii milionea wa Malawi Shepherd Bushiri, Israella Bushiri, kuzikwa leo 01 April 2021

Amekwisha sasa anatafuta njia ya kurudi hewani... He will never come back again
Nadhani kafara ya mtoto wake ni namna ya kuweza kusafisha nyota yake upya na kujaribu kujinasua kutoka kwenye kesi na majanga mazito yanayomuandama. Kwa jinsi mambo yalivyo muandamana ilihitajika sadaka yenye nguvu,ndio maana kamtoa mtoto wake.Tusubiri tuone nini kitafuata baada ya hapo.

Kumbukeni pia kuna muimbaji wake maarufu alikufa kwa ajali ya gari miaka takribani 2 au 3 iliyopita ikiwa ni siku chake baada ya kufunga ndoa. Inasemekana nae alimtoa kafara.
 
IMG-20210324-WA0010.jpg
 
Nadhani kafara ya mtoto wake ni namna ya kuweza kusafisha nyota yake upya na kujaribu kujinasua kutoka kwenye kesi na majanga mazito yanayomuandama. Kwa jinsi mambo yalivyo muandamana ilihitajika sadaka yenye nguvu,ndio maana kamtoa mtoto wake.Tusubiri tuone nini kitafuata baada ya hapo.

Kumbukeni pia kuna muimbaji wake maarufu alikufa kwa ajali ya gari miaka takribani 2 au 3 iliyopita ikiwa ni siku chake baada ya kufunga ndoa. Inasemekana nae alimtoa kafara.
Huyu atawamaliza wote...

Jamani usiombe kuwa na ndugu mtoa kafara[emoji24][emoji24]

Niulizeni mimi

Btw mkishamgundua inabidi mmalize yeye kabla hajawaua wote, na mazoea ya kula vitu vyake uache, sijui kumtembelea umeishaa[emoji848]
 
Kuna wakati akili ya Mtanzania inatia mashaka.
Hivi ni nani hufanya kazi bure kuhudumia watu bila kupata faida?
Huyu anakula madhabahuni kwake, ukiona wivu fungua la kwako.
Haya ni mawazo ya mtu asiyejua mambo ya Kimungu. Ungeona wale wastaafu wa Afrika kusini walivyokuwa wanalia mahakamani kwa kutapeliwa na Bushiri usingesema hivyo mkuu labda km huna roho ya ubinadamu ndani yako. Watu km kina Bushiri lazima wakemewa na uovu wao uwekwe wazi.
 
Nadhani kafara ya mtoto wake ni namna ya kuweza kusafisha nyota yake upya na kujaribu kujinasua kutoka kwenye kesi na majanga mazito yanayomuandama. Kwa jinsi mambo yalivyo muandamana ilihitajika sadaka yenye nguvu,ndio maana kamtoa mtoto wake.Tusubiri tuone nini kitafuata baada ya hapo.

Kumbukeni pia kuna muimbaji wake maarufu alikufa kwa ajali ya gari miaka takribani 2 au 3 iliyopita ikiwa ni siku chake baada ya kufunga ndoa. Inasemekana nae alimtoa kafara.
Haya mambo yana kilele.. Ukishafika kileleni huwezi kwenda mbele zaidi... Kifuatacho ni anguko kuu...!!!
Inapofikia hatua ya kutoa kafara damu yako maana ulishamaliza makafara mengine yote, ya wanyama, ya ngono, ya binadamu wengine... Sasa hilo ndio silaha ya mwisho kama mama yake alishakufa lakini... Kama bado yuko hai... Ajiandae
 
Haya ni mawazo ya mtu asiyejua mambo ya Kimungu. Ungeona wale wastaafu wa Afrika kusini walivyokuwa wanalia mahakamani kwa kutapeliwa na Bushiri usingesema hivyo mkuu labda km huna roho ya ubinadamu ndani yako. Watu km kina Bushiri lazima wakemewa na uovu wao uwekwe wazi.
Nasema ni ujinga wao, kama hao wazee ni wacha Mungu wa kweli walishindwaje kung'amua kuwa jamaa ni mpigaji tu?
Haihitaji digrii kuutambua uongo wa watu hawa.
Ukipigwa jilaumu mwenyewe.
 
Huyu atawamaliza wote...

Jamani usiombe kuwa na ndugu mtoa kafara[emoji24][emoji24]

Niulizeni mimi

Btw mkishamgundua inabidi mmalize yeye kabla hajawaua wote, na mazoea ya kula vitu vyake uache, sijui kumtembelea umeishaa[emoji848]
Umeponea chupu chupu?
 
Hawa ndio wana take advantage ya ujinga wa waumini wao and make money out of them!!! He is a wanted man in South Africa. Ana wafuasi wengi tu hata Tanzania!!! Wanawake wanampenda sana!!! Wadangaji wengi ni wafuasi wa nabii huyu kijana.
Sio wafuasi tu, ana tawi la kanisa lake Tanzania, lipo makongo juu, na jumapili iliyopita walifanya ibada kumuombea huyo mtoto
 
Haya ni mawazo ya mtu asiyejua mambo ya Kimungu. Ungeona wale wastaafu wa Afrika kusini walivyokuwa wanalia mahakamani kwa kutapeliwa na Bushiri usingesema hivyo mkuu labda km huna roho ya ubinadamu ndani yako. Watu km kina Bushiri lazima wakemewa na uovu wao uwekwe wazi.
Kibaya zaidi huwa nahisi anawaloga kwanza na magic power from Nigeria..

Hao congregates wake waliambiwa watoe mamimilioni wainvest ili waje watajirike, yy akachukua zile hela akaweka kwenye mamiradi yake ya madini, na real estate, wanalia vilio vya kusaga na meno...

Bado kuwalipisha hela za kula nae dinner khaa
 
Back
Top Bottom