Abby Newton
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,252
- 2,253
Nadhani kafara ya mtoto wake ni namna ya kuweza kusafisha nyota yake upya na kujaribu kujinasua kutoka kwenye kesi na majanga mazito yanayomuandama. Kwa jinsi mambo yalivyo muandamana ilihitajika sadaka yenye nguvu,ndio maana kamtoa mtoto wake.Tusubiri tuone nini kitafuata baada ya hapo.Amekwisha sasa anatafuta njia ya kurudi hewani... He will never come back again
Kumbukeni pia kuna muimbaji wake maarufu alikufa kwa ajali ya gari miaka takribani 2 au 3 iliyopita ikiwa ni siku chake baada ya kufunga ndoa. Inasemekana nae alimtoa kafara.