AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,318
- 4,106
Hilo ni kafara 100000%
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chinekeeee[emoji16][emoji16][emoji16]Hilo ni kafara 100000%
Mungu hapigani na mwanadamu kwakuwa hakuna aliyepigana na Mungu akashindaWalokole nikiwa raisi watafute pakwenda siwezi kuongoza raia waliobeba vichwa vya kufugia nywele na kuvaa mawigi.
Kupumbaza watu kwa kiingereza inaitwa "Hypnotize" Huu ni uchawi wanaoutumia manabii wengi. Yaani ukifanya kosa ukaingia kanisani kwake au kwenye makongamano yake basi umekwishaa.Akili yako yote inapumbazwa na unajikuta unakubali kila anachosema au kuagiza. Ni uchawi wa ya juu sana ndio anaoutumia sana TB Joshua. Hata ukiangalia sana video zake za mahubiri lazma akuteke akili.Kibaya zaidi huwa nahisi anawaloga kwanza na magic power from Nigeria..
Hao congregates wake waliambiwa watoe mamimilioni wainvest ili waje watajirike, yy akachukua zile hela akaweka kwenye mamiradi yake ya madini, na real estate, wanalia vilio vya kusaga na meno...
Bado kuwalipisha hela za kula nae dinner khaa
Ndo lile la Mutalemwa sijui apostleSio wafuasi tu, ana tawi la kanisa lake Tanzania, lipo makongo juu, na jumapili iliyopita walifanya ibada kumuombea huyo mtoto
Duuh sasa mtu kama huyu unamsaidiaje?Kupumbaza watu kwa kiingereza inaitwa "Hypnotize" Huu ni uchawi wanaoutumia manabii wengi. Yaani ukifanya kosa ukaingia kanisani kwake au kwenye makongamano yake basi umekwishaa.Akili yako yote inapumbazwa na unajikuta unakubali kila anachosema au kuagiza. Ni uchawi wa ya juu sana ndio anaoutumia sana TB Joshua. Hata ukiangalia sana video zake za mahubiri lazma akuteke akili.
Wapo walio mshindaHata Yesu hakufufua wafu wote
Inawezekana sikufatilia zaidiNa kutakatisha pesa
Huyu jamaa nilionana nae anawapaka watu oliver oil anadai mafuta ya upako na watu wanaanguka kabisa. Kuja kucheck ni olive oil original.Kuwaelewa wachungaji wa Africa kazi sana
Mafuta ya upako mara nyingi ni olive oil inategemea tu na mtu anayatumia vipiHuyu jamaa nilionana nae anawapaka watu oliver oil anadai mafuta ya upako na watu wanaanguka kabisa. Kuja kucheck ni olive oil original.
Aah nikaachana na mahubiri yao, nilikua hapo kwa kazi ingine anyway.
Pole kwa msiba Mchungaji [emoji120]
Yalikua ni hayo na alikua nayo kwenye kibakuli, watu walikua wengi sana mle kanisani na walipigwa dola 100+ kuja mle kila mtu.Mafuta ya upako mara nyingi ni olive oil inategemea tu na mtu anayatumia vipi
Ndio maana nasema inategemea na mtu anayatumia vipi kuna olive oil za kawaida na zingine zinakuwa zimeombewa kwa ajili ya muktadha maalum either kwa maombezi ama wwngine ndio wanafanyia mambo yaoYalikua ni hayo na alikua nayo kwenye kibakuli, watu walikua wengi sana mle kanisani na walipigwa dola 100+ kuja mle kila mtu.
Vibaya mnoo... Umenichekesha sana[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]Huyu nabii ana drama nyingi sana
Inaelekea wewe ni mchanga sana wa ujuzi wa mambo ya kishirikina.Kwa taarifa yako 98% ya vifo hasa ajali ni kafara.Mpango wa Mungu ni watu kuishi hadi uzeeni,ila Mpango wa shetani ni kuiba na kuitumia nguvu kazi ya vijana katika ufalme wake. Kafara zipo sana mkuuWatu huwa wanatoa kafara za binadamu ili iweje?..wapate pesa bila kufanya lolote au?..sijawahi kuelewa
Kama ndo hivyo mbona watoa kafara za binadamu wangekuwa wengi sana..sio kwa maisha haya.
Hujajibu swali langu mkuu..pesa inapatikanaje?Inaelekea wewe ni mchanga sana wa ujuzi wa mambo ya kishirikina.Kwa taarifa yako 98% ya vifo hasa ajali ni kafara.Mpango wa Mungu ni watu kuishi hadi uzeeni,ila Mpango wa shetani ni kuiba na kuitumia nguvu kazi ya vijana katika ufalme wake. Kafara zipo sana mkuu
Pole shoga ...watu na baba zao, yaani wengine wako tayari hata kuwakana baba zao wazazi kisa Hawa mababa zao wa kirohoJana ofisini nimesema jamaa katoa kafara binti yake asee nililetewa mtiti na boss ( mwanamke) mpaka nikaomba msamaha[emoji16][emoji16]
Mpaka niliambiwa eti tayari nimeshatupiwa laana[emoji848]
NB
Sitaki tena mazoea na walokole, nahisi vichwa vyao vimejaa maruweruwe