Binti wa Rostam anasoma shule ada US$ 200000 kwa mwaka

Binti wa Rostam anasoma shule ada US$ 200000 kwa mwaka

wazee kashori inaonekana katamu kweri kweri......afu kama bikira vile....
 
"MIAFRIKA NDIYO TULIVYO". Tumemlea wenyewe RA, anatuibia tunamuona, jela hatumpeleki, Ikulu yetu ameihodhi na tumeridhika, usalama wa taifa anauongoza RA na tunafurahi, Caspian, Kagoda tumempa wenyewe tena tukikedua meno nje, sasa twalalama nini? Kama hatupendi asomeshe mtoto huyo huko nje, tusimnyang'anye / tutaifishe hizo mali zake ili huyo binti aje asome shule ya sekondari ya Kata Kwa Mtogoro?
 
namshauri rostam achukue DNA test..huyu mtoto kabambikiwa..
 
Sijajua huyo mtoto atafanya kazi wapi ila najua kwa tanzania No!, Hiyo hela anayoinvest itamchukua Karne kurudisha,
Asante sana Mdau


Kurudisha kivipi,wakati baba yake kaipata kifisadi?
 
Heri yake....Hongera Rostam kwa kutumia hela vizuri kumsomesha mwanao shule bora....usome kwa bidii binti:yawn:!!!:yawn:
 
mi sioni tatizo, kama mtu una pesa iwe za wizi au za halali....lazma ujue kuzitumia kama anavyojua kuzitumia huyu mheshimiwa!
 
Ukiwauliza wasukuma wanakwambia mwacheni kijana wetu huyo msukuma origino na anauchungu na nchi yake kwa sababu yeye ni mzalendo na ni msukuma................
 
KARUME,
IDDI AMIN,
MALCOM X,
fufukeni muje kuona wa AFRIKA wenzenu tunavyouzwa na wa AFRIKA wenzetu
 
A/ Registration fee and guarantee deposit
One-time registration fee: CHF 2,000 (student file, entrance
examinations, visits, etc).
Guarantee deposit for extra expenses: CHF 7,000 (reimbursed at
the end of the term following the student's departure from the
school).
B/ Annual boarding and academic fees
The annual boarding and academic fees are CHF 94,500 payable in
two instalments:
• the payment of CHF 63,000 for the first two terms is due no later
than 31 st May 2011
• the payment of CHF 31,500 for the third term is due no later
than 31st January 2012.
Invoices for extra charges are sent three times per year and are
payable within 30 days of issue; details can be found on the Internet.
If an invoice is not contested within 30 days, it will be considered as
having been approved.
In the case of late payment of either school fees or extra charges,
Le Rosey reserves the right to contract a company of its choice to
undertake debt collection. The costs involved will be assumed by the
debtor concerned.

Other services charged separately:
• annual charges for classes 1 and t in the International
Baccalaureate section: CHF 7,300 (covering administration,
diploma matriculation and CAS activity costs)
• annual charges for classes 1 and T in the French Baccalaureate
section: CHF 1,800 (covering matriculation, external moderation
of mock exams, regular in-depth tests, project work, orals and
transport to examination centres)
• annual charges for private music lessons (1 lesson per week):
CHF 3,400
• annual charges for an extra-curricular language* as an integral
part of preparation for the International Baccalaureate (Cl.3
to T): CHF 5,400 (4 periods/week) and CHF 7,900 (6 periods/
week).

F/ Contractual financial conditions
• If a student is expelled from the school or if a student is
withdrawn by the parents from the school during the course of
the term, both the fees for that term along with those for the
following term are payable to Le Rosey.
• During the course of a term, should a student be withdrawn from
Le Rosey with the consent of both the parents and Le Rosey, only
fees for that term are due.
• Le Rosey students may only carry upon their person the amount
of weekly pocket money assigned to them. Any other money
given to the student should be handed to the boarding house
director for safe keeping.
• No valuable objects should be brought on campus. Le Rosey
is not responsible for providing students with insurance cover
against theft.
• Personal effects are insured against fire and water damage up to
a maximum amount of CHF 15,000.

Jumlisha hapo na piga mwenyewe mahesabu ni pesa kiasi gani za madafu (1 Swiss franc (CHF) = TZS 1658)
 
Issue ni image ya chama.

Wakati kina Mukama wanateuliwa majuzi walitoa hotuba nzito nzito, kina Chiligati na Mnauye na Kikwete etc. Common thread ya ujumbe wao ilikuwa wanataka CCM kirudi kuwa "chama cha wanyonge." Wakati wanajenga CCM, tokea TANU, tokea TAA, tokea Uhuru, Watanganyika, weusi walikuwa karibu wote masikini, wote, wakajiita wanyonge. Image ya chama cha wanyonge ndio iliyojenga chama nchi nzima kwa sababu kilionekana chama kinacho akisi picha ya Watanganyika, sasa wanasema wanataka kurudi huko.

Kumbe wanyonge wa CCM ni watu tofauti, hakuna shule ya sekondari Igunga, Tabora inayomtosha mtoto wa mbunge, hakuna shule Tanzania, hakuna sekondari Afrika inayomtosha mtoto wa kiongozi wa CCM, hakuna shule ya kawaida UK, Uswisi n.k. bali mtoto wa mbunge anasoma shule ambayo hata Malia na Sasha, watoto wa Rais wa mabepari wa Marekani hawawezi kusoma, hicho ni chama cha wanyonge?

Chama cha Mapinduzi kinajiuza kama chama cha watu wasiopenda kujilimbikizia mali. Basi angalau wangejilimbikizia mali halali. Mali za wizi. Wanajenga image ya chama kiongo na kinafiki.
Mnyonge anaidai nchi umeme wake?
Hao jamaa wamechelewa chama kimeshikwa na kina vijisenti, watoto wao wanaporomosha maghorofa na kununua majumba kwenye miji mikuu hapa Tanzania na miji ya ulaya. Sasa watawatupa watoto, maana kizazi cha nyoka ni majoka tuu, wadanganye wajinga lakini Watanzania wameelevuka bwana. Wote akili yao ni kusema uongo tu ili waendelee kututawala ili wazidi kujitajirisha!!!!!!!!!!
Mifano ni mingi wawaone kina Gagbo, Misri ya Mbaraka na Libya kwa sasa.Tuachane na wezi hao. Tuunge mkono chama cha ukombozi tuweke taifa bora na imara Tanzania kwa kuweka serikali itakayo jali maslahi ya wananchi wanyoge wa TZ!!!!!!!!!
 
Kwa nini asimpeleke st mary mbagala pesa inayobaki isaidie watoto yatima pale nzega? Yale madhahabu yetu ndo yanasomesha watoto wake? Kweli tanzania inatafunwa na wenye meno
 
Very guuud

Atakuwa anapata elimu nzuri aje kusadia TAIFA LAKE TAnzania

Unaamini Mtoto atasaidia Taifa i hali sifa ya Baba yake unaiona dhahiri kwa watanzania!!!

Inasemekana kuwa, wakati suala la Richmond limepamba moto sana mwaka 2008, Rostam alihamishia familia yake Kanada. kwahiyo huyu jamaa si Mtaznania mzalendo hata kiodogo. Ndo maana haoni shida kuifilisi nchi yetu.
 
nyie mmejuaje kama kweli anasoma hapo???amewaambieni mwenyewe?au nyie ni mashushushu ya usalama wa taifa?
 
asante kwa hiyo informationa mkuu,
japo wengine wanaona kama ni maisha ya mtu binafsi eti hayatuhusu
hizo fikra na kauli zinaniumiza sana,
tatizo la watanzania (labda na mimi nipo humo)
hatuna upeo mkubwa wa kufikiria na kuchambua mambo,
ndiyomaana hata jambo la maana linapowekwa hadharani tunaona kama halituhusu.

halituhusu vipi ikiwa anashindwa kulipa kodi ila pesa ya kumsomesha mwanae anayo?
hiyo kodi aliyogoma kulipa je angelipa huoni kama ingesaidia kujenga ,shule na zahanati pamoja na vifaa vyote vinavyotakiwa kutoa huduma, watoto wetu na sisi wenyewe tungesoma huko na kutibiwa.

na ndiyo maana watanzania wengi (siyo wote) wanamnyenyekea mtu yeyote tajiri pasipo kujuuliza je utajiri huo alionao kaupata kwa nia halali???, kuwa tajiri siyo tatizo ni heri na ni vizuri tatizo ni njia unazotumia kupata huo utajiri.

tungekuwa na uelewa wa kutosha nina uhakika hawa tunaowaita mafisadi na ushahidi kama tunao.nina uhakika tungekuwa tumeshachukua hatua ya vitendo kwa kuwaadhibu na kuchukua mali zao, lakin kwa vile kazi yetu ni kulalamika tu pasipo kuchukua hatua ya vitendo hakuna tunachokifanya. Hata pale wenzetu baadhi wanapofanya jitihada za kuonesha uozo wa wao mafisadi tunawakatisha tamaa na kuwaita eti wanoko/wambeya.

tangu tumeanza kuwasikia hawa mafisadi ebu nambia kama watanzania tumeweza kuchukua hatua gani??,
wanatuletea wanayoita misaada mitaani,vijijini mwetu tunaipokea tena kwa kuwa mwagia sifa nyingi.
inakuwaje watu (mafisadi) wasiozidi 20 waweze kutushinda nguvu mamilion ya watu safi.
watanzania kwa ujumla we,are not serious kupingana,kuutokomeza ufisadi nchini mwetu. Ndiyo maana kila habari tunaiona kama ni uongo,umbeya, badala ya kuifanyia utafiti na kuichukulia hatua..so siri inaniuma kupita kiasi.
 
Ukichunguza uraia wake utakuta sio mtanzania huyo!
 
Back
Top Bottom