Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Askari wengi ni kawaida yao. Hata mshahara ukute jamaa analewa wote na mkewe anaishi kwa shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dunia ngumMachozi yamenitoka.
Huyu mtoto Mungu abariki mno.Ana imani sana .
....Kweli. Lakini na hao wauguzi wa hiyo wodi aliyomo mama mgonjwa wanastahili adhabu!Tuache upuuzi ktk ishu kama hizi. Wakulaumiwa hapo ni watoto wa huyo mama.
Ameen mkuu naomba Mungu akaweke wepesi katika safari yakeHalafu ana akili sana. I hope ataweza kwenda shule.
Ana akili Sana aiseeHalafu ana akili sana. I hope ataweza kwenda shule.
Ana akili Sana aisee
Hii habari nimeiona kwenye page ya Florah Lauwo ya Nitete aisee kuna mambo kule. Kama ww mzima na huna unachosumbuliwa nacho mshukuru sana Mungu. Afya ni mtaji, ile page ina mazito na magumu. Huwa nachangia kidogo kidogo napopata.Mungu Awasaidie, inatia huzuni..
Anyway kwa usalama na uhakika
Mwandishi wenu nani?
Chombo gani cha habari?
Weka video hapa watu tuchangie kinachowezekana.
Huyo ndio mke sasa! Amekidhi vigezo vyoteHuyu mtoto Mungu abariki mno.Ana imani sana .
We umekizi vigezoHuyo ndio mke sasa! Amekidhi vigezo vyote
Ila maisha haya aisee, acha tu. Watu tunavyohangaika na kutamani kupata watoto wanaojielewa na wenye uwezo kama huyu.....dah. tuna watoto wamefika hadi kidato cha nne lkn kujieleza km hivyo hawawezi. Yaani unampotezea binti km huyu?!!!!!
Oh, kumbe?!!!Ukimsikiliza utashangaa anavyojibu kwa kujiamini. Sad enough she is HIV positive alizaliwa nao.
Yah ukipitia page ya Nitetee utaionaOh, kumbe?!!!
Shukrani, nitaichekiYah ukipitia page ya Nitetee utaiona
Nadhani huyo Askari ni mkwe wa huyo Mama.Mama wa huyo mjukuu amayemuhudumia Bibi alikuwa binti wa huyo Bibi ambaye alishatangulia mbele ya haki.JWTZ hamisheni huyo Askari bwege mhamishieni Mwanza akatunze mama yake kuwa asipotunza na kupeleka mtoto shule mnamtimua kazi
Atakuwa kapata mwanamke nwa kingazija Zanzibar huyo amemfuga .Mkuu wa Majeshi hamisha huyo Askari haraka