Binti wa umri wa miaka tisa amuuguza Bibi yake kwa zaidi ya miaka Mitatu

Binti wa umri wa miaka tisa amuuguza Bibi yake kwa zaidi ya miaka Mitatu

Nadhani huyo Askari ni mkwe wa huyo Mama.Mama wa huyo mjukuu amayemuhudumia Bibi alikuwa binti wa huyo Bibi ambaye alishatangulia mbele ya haki.

Hi inathibitishwa na maelezo ya Bibi kuwa anawatoto watano walio hai,wawili kati yao anasikia wako Katoro Geita na Wengine watatu hajui walipo.
Ndivyo nilivyoelewa pia. Coz kama angekuwa ni miongoni mwa watoto wake Angemtaja Jina.
 
Alisema baada ya watoto wake wote kuondoka nyumbani, alianza kuuza baadhi ya mali ikiwemo samani za ndani na mavazi kupata fedha za kujitibu na kujikimu kimaisha.

Kama Mwanadishi hajanukuu vibaya, kwa maelezo hayo inaonesha Huyo Askari siyo miongoni mwa watoto walioondoka na kumuacha Mama yao. Huenda ni mkwe
 
Back
Top Bottom