Nadhani huyo Askari ni mkwe wa huyo Mama.Mama wa huyo mjukuu amayemuhudumia Bibi alikuwa binti wa huyo Bibi ambaye alishatangulia mbele ya haki.
Hi inathibitishwa na maelezo ya Bibi kuwa anawatoto watano walio hai,wawili kati yao anasikia wako Katoro Geita na Wengine watatu hajui walipo.