Binti wa umri wa miaka tisa amuuguza Bibi yake kwa zaidi ya miaka Mitatu

Ndivyo nilivyoelewa pia. Coz kama angekuwa ni miongoni mwa watoto wake Angemtaja Jina.
 
Alisema baada ya watoto wake wote kuondoka nyumbani, alianza kuuza baadhi ya mali ikiwemo samani za ndani na mavazi kupata fedha za kujitibu na kujikimu kimaisha.

Kama Mwanadishi hajanukuu vibaya, kwa maelezo hayo inaonesha Huyo Askari siyo miongoni mwa watoto walioondoka na kumuacha Mama yao. Huenda ni mkwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…