Binti wangu hawezi kuolewa na mtu maskini - Elon Musk

Unazan mimba huko mbele wanapean ovyoovyo kam zakin mwajuma[emoji850][emoji850][emoji17][emoji17]
 
Wanaopendana toka moyoni hawaangalii akili ya kupata pesa au kumiliki mali, bali hujenga mahusiano ya dhati ya kuishi pamoja kwa umoja - pengine hata bila pesa!

Ni kweli umaskini mbaya au utajiri udumuo uko kichwani, lakini mapenzi ya dhati yako moyoni na yana nguvu kuliko pesa.
 
NIMEGUNDUA HUMU JF KUNA MAJITU MAJINGA SN SN MAKURUPUKAJI NA UWENDA WENGI WAMESOMA THREAD TITLE TU HAWAJASOMA CONTENTS KBS nafatilia majbu mnayojbu ni kama hamjaelewa jamaa amemaanisha nn. shaaabashiiii
Aisee nimeshangaa sana. Kama JF great thinkers' home kupo hivi huko kwingine vipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…